Wanasiasa wahuni hawapaswi kupewa uhuru uliopitiliza.Raila is doing more harm than good. He should accept he was checkmated and wait for 2027 where he will be checkmated again
Britanicca
😂Mkuu umenichekesha kinoma.That's the main reason why he shouldn't wait for 2027.
Mzima mkuuMkuu mzima lakini?
Wakimgusa kenyatta kitanuka
wanasiasa kama raila hawatufai afrikaKwa nn Raila na Ruto wasi shake hand maisha ya Wakenya yakasonga mbele?
Africa tuamke wanasiasa wasituvuruge ss na familia zetu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nae apumzike kila wakati yy tuu sijui kwa nn yy asiwe mbele kabisa na familia yake kwenye hayo maandamano ili aone namna jamii inavyoumia wakati kama huuwanasiasa kama raila hawatufai afrika