Raila Odinga na Uhuru Kenyatta Wakae Pamoja kwa Mazungumzo

Commodores

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2018
Posts
289
Reaction score
335
Kwa hali inavyoendelea nchini Kenya kuna uwezekano mkubwa nchi hiyo ikawa kama Somalia au South Sudan. Ni wakati muhimu kwa Rais Uhuru Kenyatta kufanya mazungumzo ya haraka na kiongozi upinzani Raila Odinga, kama hakutakuwa na muafaka hali ya usalama na kiuchumi itazidi kuwa mbaya nchini Kenya.
 
Magufuli walikaa chini na nani waongee kuhusu uchaguzi baada ya ushidi kutangazwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…