Raila Odinga na Uhuru Kenyatta wanacheza kamari

Raila Odinga na Uhuru Kenyatta wanacheza kamari

Captain Marvelous

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2017
Posts
14,339
Reaction score
30,439
Nimekua nikifuatikia kampeni za Nasa na Jubilee kuelekea kwenya uchaguzi, na nimegundua kwamba muda mwingi sana hawa jamaa baada ya kuhubiri manifesto zao ni kunyosheana vidole. Je hivi nii hii ipo kwenye manifesto au ni kucheza kamari ya kisiasa wananchi wanahitaji kufahamu nini Nasa au Jubilee watawafanyia wakichaguliwa kuongoza nchi miaka mitano ijayo. Mambo ni mengi sana ya kuwaambia wapiga kura ili wapate kura zao, kwa mfano
1) Nairobi msongamano wa magari, kua na efficient well organised public transport mfano Dart ya Dsm. Kua na one stop upcountry modern bus stage sio kama ilivyo sasa mitaa karibia yote ya down town Nairobi imegeuzwa stedi za mabasi na shuttle.
2) Elimu, iwe wanaomaliza vyuo wawe mentally prepared kujianiri na sio sasa ambapo kila mmoja anatamani kuajiriwa na ajira ni chache. Je hivi vyama sera zaozinasema aje kuwawezesha hawa vijana.
3) Security ya ndani especially wizi wa mifugo , mbinu mpya za kuwakomesha Al shabab, na wa gang yanayochipukia mitaa mingi Nairobi na kutesa watu.
4) kuondoa ma cartel kwenye sector ya kilimo kuanzia kahawa,miwa n.k

kwa kweli ishu nyingi sana za kuboresha Kenya. Nasa na Jubilee kutumia kampeni zao kushambuliana bila kuuza sera ni kujiua kisiasa.
 
Lakini ndio kawaida, wanasiasa hujitoa ufahamu, ila ukiwaskliza haya unayosema wanayataja lakini wanachanganya mpasho baina yao.
 
Afrika nafasi ya kusikiliza Sera na mipango ni ndogo sana zaidi ya ushabiki na huba tuu.
Kama watu wangekuwa makini kusikiliza na kupima maneno na vitendo huku Tanzania ccm ingekuwa imeshafutika
 
Wanasiasa wa Afrika wataacha mipasho pindi sisi wananchi tukiikataa kuisikiliza. Jamii ya watu masikini upenda mipasho kuliko hoja.
Na kweli, safari ya Afrika kuelekea demokrasia iliyopevuka bado sana...na pengo la umaskini na matajari ndio kwanza naona linazidi kuongezeka...
 
Afrika nafasi ya kusikiliza Sera na mipango ni ndogo sana zaidi ya ushabiki na huba tuu.
Kama watu wangekuwa makini kusikiliza na kupima maneno na vitendo huku Tanzania ccm ingekuwa imeshafutika
Unamaanisha kwa sera na kampeni za Lowasa za kuongea dk 5 au kwa kampeni za mtu kama Sumaye ?
 
Nimekua nikifuatikia kampeni za Nasa na Jubilee kuelekea kwenya uchaguzi, na nimegundua kwamba muda mwingi sana hawa jamaa baada ya kuhubiri manifesto zao ni kunyosheana vidole. Je hivi nii hii ipo kwenye manifesto au ni kucheza kamari ya kisiasa wananchi wanahitaji kufahamu nini Nasa au Jubilee watawafanyia wakichaguliwa kuongoza nchi miaka mitano ijayo. Mambo ni mengi sana ya kuwaambia wapiga kura ili wapate kura zao, kwa mfano
1) Nairobi msongamano wa magari, kua na efficient well organised public transport mfano Dart ya Dsm. Kua na one stop upcountry modern bus stage sio kama ilivyo sasa mitaa karibia yote ya down town Nairobi imegeuzwa stedi za mabasi na shuttle.
2) Elimu, iwe wanaomaliza vyuo wawe mentally prepared kujianiri na sio sasa ambapo kila mmoja anatamani kuajiriwa na ajira ni chache. Je hivi vyama sera zaozinasema aje kuwawezesha hawa vijana.
3) Security ya ndani especially wizi wa mifugo , mbinu mpya za kuwakomesha Al shabab, na wa gang yanayochipukia mitaa mingi Nairobi na kutesa watu.
4) kuondoa ma cartel kwenye sector ya kilimo kuanzia kahawa,miwa n.k

kwa kweli ishu nyingi sana za kuboresha Kenya. Nasa na Jubilee kutumia kampeni zao kushambuliana bila kuuza sera ni kujiua kisiasa.
Kwann
 
Back
Top Bottom