Raila Odinga ni Kiongozi wa Chama chake tangu zama za Moi, nani asiyejua Mchango wa Raila kwenye Demokrasia ya Kenya?

Raila Odinga ni Kiongozi wa Chama chake tangu zama za Moi, nani asiyejua Mchango wa Raila kwenye Demokrasia ya Kenya?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Kwa siasa za Kenya Raila Odinga ndio kiongozi wa Chama chake tangu nyakati za Moi, akaja Kibaki, akaja Uhuru Kenyatta na sasa William Ruto na hakuna tatizo kabisa make anasimamia idea yake.

Nani Kenya asiyejua mchango wa Raila Odinga kwenye Demokrasia ya Kenya? Mbona yeye hajawahi achia uongozi? na mbona ODM hawajawahi lalamika?

Bongo CCM wanataka Mbowe ang'oke waweke mtu wao? au wanataka nini?

Rao.jpg

 
Historia vilevile inatueleza hajawahi kushinda Uraisi.

Labda ni kweli kuna uhusiano.
 
Ni CCM ndio wanaotaka Mbowe ampasie mwingine Uenyekiti au ni WanaChadema wenyewe tena viongozi?

Mbona tusio na vyama mnatuchanganya sana
 
Hivi ni nani wanaokereka Mbowe akiwa mwenyekiti zaidi ya hao mafisiem?Kama kuna wanachadema wanataka Mbowe akabidhi uongozi wakati si muda muafaka na kwa mtu sahihi ambaye sio pandikizi la mifisiemu kuna ubaya gani wakaamua kujiunga na vyama vingine ambavyo vinaruhusu uharamia huo ili mioyo yao itulie!
 
Back
Top Bottom