Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Katika uchaguzi Mkuu mwaka 2007 ODINGA aliongoza kura uraisi kwa asilimia 80 lakini mwisho wa siku baada ya figisu alipewa uwaziru Mkuu akatulia.
Mwaka 2017 Leo hii amejiondoa kiuraisi raisi amesahau watu waliokufa kwa ajili yake amesahau watu waliumia kwa ajiri yake , watu wameandamana kwa ajili yake.
Eti amejitoa kiurahisi rahisi hivi hivii tuuu.
Haki ya nani ODINGA zaidi ya msaliti
Mwaka 2017 Leo hii amejiondoa kiuraisi raisi amesahau watu waliokufa kwa ajili yake amesahau watu waliumia kwa ajiri yake , watu wameandamana kwa ajili yake.
Eti amejitoa kiurahisi rahisi hivi hivii tuuu.
Haki ya nani ODINGA zaidi ya msaliti