Raila odinga,rais wa wakenya anayehujumiwa.

Raila odinga,rais wa wakenya anayehujumiwa.

toxic

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2010
Posts
771
Reaction score
158
Raila Odinga,ndiye rais wa wakenya ambaye kwa bahati mbaya kutokana na tabia yake ya kutomuogopa yeyote na kutomuonea aibu yeyote imekuwa ni tishio sana kwa mafisadi wa kenya,hivyo basi huundiwa mizengwe mizito sana nyakati za chaguzi ili asishike madaraka makubwa kenya kama wanavyomtaka wananchi wengi wanyonge,asije leta kilio na kusaga kwa mafisadi waliopo kwenye serikali na waliokuwepo zamani,kwa sababu anaweza kukutia kwenye kibano muda wowote ikiwa tu anao ushahidi wa kutosha wa ufisadi wako,na kwa hili hana rafiki,kama unataka mwende sawa basi weka mambo kwenye mstari.Kwa maslahi ya nchi na wananchi wa kenya yupo tayari kukosana hata marafiki zake wa karibu(kama ilivyotokea kwa william ruto na musalia mudavadi) kama itaonekana wanajihusisha kwa namna moja ama nyingine na vitendo vya kifisadi.Raila anafahamika kama mtu ambaye huongea kwa vitendo zaidi kuliko maneno,kwa namna nyingine maneno yake hufuata matendo yake.Huyu ndiye Raila Odinga kama anavyofahamika kwa wakenya wengi kwa kifupi.
 
Tatizo haya wasomi wa jukwaa hili hawalijui hili usemalo. Tatizo la wengi ni kama bendera kufuata upepo. Hawajui siasa za Kenya za ukabila kuwa ni vigumu kwa Rais wa nchi hiyo kama hujawa kibaraka wa wakubwa wa Kikuyu.
KUMBUKENI kuwa hili ya kibaraka wa watu wengine lilimshinda hata babake Raila na ndilo linalomshinda wakati huu.

Suala la Uhuru si kwa sababu anspendwa sana no.no.no.Bali kwa siasa za Kenya hata angebakia Martha Karua bila ya Kenyata ni lazima angeshinda tu kwa kuwa ni kutoka katika kabila la watawala.

Utasema mbona Moi alipewa madaraka? Mbona majibu ni sawa na ya Ruto kwa sasa?
 
Maneno hayana MFUPA TOXICSASA HAYA UNAONGEA UNAOTA au? Raisi wa Kenya ipi? Hujasikia matokeo ya uchaguzi au kiburi tu? Wakenya wameshaongea kuwa UHURU ndio raisi wao bana.
 
Watz bana kwa kupenda kupoteza muda sidhani kama wakenya wanafanyaga Hivi kwenye chaguzi zetu hata ukiwauliza rais wa tz hawamjui ni nani umbea tuuu na longolongo
 
Maneno hayana MFUPA TOXICSASA HAYA UNAONGEA UNAOTA au? Raisi wa Kenya ipi? Hujasikia matokeo ya uchaguzi au kiburi tu? Wakenya wameshaongea kuwa UHURU ndio raisi wao bana.

Heshima mbele hilo nimeliongea ndilo litakalosimama baada ya hukumu ya SC,uchaguzi utarudiwa na hapo ndo utaelewa nilichokiandika.
 
Mleta uzi huu yuko sahihi kabisa. Jamaa anaogopwa kwamba si mtu wa upuuzi puuzi. Hivyo zengwe huwa anawekewa kishenzi. Lakini ipo siku tu atakuja mwenye mwono sawa na wake.
 
Maneno hayana MFUPA TOXICSASA HAYA UNAONGEA UNAOTA au? Raisi wa Kenya ipi? Hujasikia matokeo ya uchaguzi au kiburi tu? Wakenya wameshaongea kuwa UHURU ndio raisi wao bana.

Heshima mbele mkuu,hilo nimeliongea ndilo litakalosimama baada ya hukumu ya SC,uchaguzi utarudiwa na hapo ndo utaelewa nilichokiandika.
 
Tatizo haya wasomi wa jukwaa hili hawalijui hili usemalo. Tatizo la wengi ni kama bendera kufuata upepo. Hawajui siasa za Kenya za ukabila kuwa ni vigumu kwa Rais wa nchi hiyo kama hujawa kibaraka wa wakubwa wa Kikuyu.
KUMBUKENI kuwa hili ya kibaraka wa watu wengine lilimshinda hata babake Raila na ndilo linalomshinda wakati huu.

Suala la Uhuru si kwa sababu anspendwa sana no.no.no.Bali kwa siasa za Kenya hata angebakia Martha Karua bila ya Kenyata ni lazima angeshinda tu kwa kuwa ni kutoka katika kabila la watawala.

Utasema mbona Moi alipewa madaraka? Mbona majibu ni sawa na ya Ruto kwa sasa?

Odinga anasema ikitokea amekuwa raisi wa kenya hakika mzee moi lazima aende mahakamani
 
Raila Odinga,ndiye rais wa wakenya ambaye kwa bahati mbaya kutokana na tabia yake ya kutomuogopa yeyote na kutomuonea aibu yeyote imekuwa ni tishio sana kwa mafisadi wa kenya,hivyo basi huundiwa mizengwe mizito sana nyakati za chaguzi ili asishike madaraka makubwa kenya kama wanavyomtaka wananchi wengi wanyonge,asije leta kilio na kusaga kwa mafisadi waliopo kwenye serikali na waliokuwepo zamani,kwa sababu anaweza kukutia kwenye kibano muda wowote ikiwa tu anao ushahidi wa kutosha wa ufisadi wako,na kwa hili hana rafiki,kama unataka mwende sawa basi weka mambo kwenye mstari.Kwa maslahi ya nchi na wananchi wa kenya yupo tayari kukosana hata marafiki zake wa karibu(kama ilivyotokea kwa william ruto na musalia mudavadi) kama itaonekana wanajihusisha kwa namna moja ama nyingine na vitendo vya kifisadi.Raila anafahamika kama mtu ambaye huongea kwa vitendo zaidi kuliko maneno,kwa namna nyingine maneno yake hufuata matendo yake.Huyu ndiye Raila Odinga kama anavyofahamika kwa wakenya wengi kwa kifupi.
Ni ukweli mtupu uyasemayo mdau,Raila Odinga ndiye hasa anastahili kuiongoza Kenya lakin kutokana na Ukabila itakuwa ngumu sana kuwa Rais wa Kenya,Ili ukubalike Kenya ni lazima utoke kwenye makabila makubwa ya huko kama KIKUYU etc.Namuonea huruma sana Odinga kwani siku zake zinahesabika anamuda mfupi sana wa kuishi kwani wakikuyu sio watu wazuri wanapesa sana na wanaweza kufanya lolote,hebu kumbuka jinsi kifo cha SAITOTI kilivyotengenezwa na kuhitimisha ndoto zake za kuongoza Kenya na wachungaji wakabariki bwana ametoa na bwana ametwaa.Sijui ukabila utaisha lini Kenya naona kiza mbele lakini kwa mbali naona serikali ya mseto tena Kenya,na mwisho wa upeo wa macho yangu naona machafuka mengine Kenya.
 
Hujui ulisemalo ww.. Siasa za kenya ni zaidi ya neno siasa lenyewe.


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
::
King'ang'anizi tu,,amefika mahali anaamini yeye tu ndiye Rais halali wa Kenya.
Huo ni uongozi au majivuno ya utawala?
=
 
Rais wa wapi yet the fact is 57% of Kenyans wamemkataa!Hata tukimpa hizo 'kura' anazodai kuibiwa bado unakuta zaidi ya 53% ya wakenya hawamtaki.Hizi ni hesabu,numbers dont lie...tuendelee na porojo bila hesabu kama Raila alivyodanganywa na wapambe wake.
 
Tatizo haya wasomi wa jukwaa hili hawalijui hili usemalo. Tatizo la wengi ni kama bendera kufuata upepo. Hawajui siasa za Kenya za ukabila kuwa ni vigumu kwa Rais wa nchi hiyo kama hujawa kibaraka wa wakubwa wa Kikuyu.
KUMBUKENI kuwa hili ya kibaraka wa watu wengine lilimshinda hata babake Raila na ndilo linalomshinda wakati huu.

Suala la Uhuru si kwa sababu anspendwa sana no.no.no.Bali kwa siasa za Kenya hata angebakia Martha Karua bila ya Kenyata ni lazima angeshinda tu kwa kuwa ni kutoka katika kabila la watawala.

Utasema mbona Moi alipewa madaraka? Mbona majibu ni sawa na ya Ruto kwa sasa?

mkuu nakupa shavu,wakikuyu ni matajiri sana kenya.wanamiliki na kutawala sekta zote,usipokuwa kibaraka wao haki ya nani haupati urais wa kenya.mali zao nyingi nh kwa njia ya ufisadi na ualifu wa mabavu.kuna uzi uliletwa hapa jinsi wakikuyu wanavyoloot mali za wakenya kwa kufanya shody business na serikali inayoongozwa na wakikuyu.kwa upande wangu nadiriki kusema kenya ni nchi ambayo inatawaliwa na genge la wanyanganyi wa kikuyu.atleast kidogo katiba mpya imesaidia.hata hivyo mambo bado,ukipiga picha mfumo mzima wa utawala na viongozi,sekta nyeti zote ni wakikuyu.na sasa kaingia mkikuyu mtaonaona jinsi wakikuyu na kalenjin watakavyo pendelewa.
 
Rais wa wapi yet the fact is 57% of Kenyans wamemkataa!Hata tukimpa hizo 'kura' anazodai kuibiwa bado unakuta zaidi ya 53% ya wakenya hawamtaki.Hizi ni hesabu,numbers dont lie...tuendelee na porojo bila hesabu kama Raila alivyodanganywa na wapambe wake.

mkikuyu utamjua tu,kwa kauli zake hasira na majigambo.kenya mna makabila 42,makabila mawili ndio yameongoza kumpigia kura uhuru nayo ni wakikuyu na jamii inayotoka bonde la ufa.sasa kwa mtazamo wako hapo hakuna ukabila.ikumbukwe makabila haya mawili wanashtumiwa sana kwa ubadhilifu wa mali za uma,kisa walishaonja urais.ebu angalia hapa bongo,utajiri wa wazananaki na jamii ya watu wa mara,angalia watu kusini kwa na Ben mkapa,Je jamii ya Mz ee mwinyi,haya wakwere kwa jk je?ingekuwa ni kenya wazanaki na jamii ya wanamara wangekuwa bilionea wa kutupa hata wana kusini na wakwere pia.ukabila inaitafuna kenya kubali ukatae na wabaya zaidi ni kikuyus.
 
Punguza hisia,nani amekwambia mimi ni Mkenya?Am talking about numbers sio any other porojo...bishana na namba but you wont change them,For you information UHURUTO hawakupigiwa kura na makabila mawili tu,again natumia hesabu,Wakikuyu na Kalenjin ni kama 34% ya wakenya,madai yako kuwa alipigiwa kura na makabila 2 kimahesabu hayakubaliki...endeleza porojo ila ukitaka ukweli cheki hesabu...mathematically it was not about distribution of votes,it was about 50% 1 vote...I repeat again,50% 1 vote.
 
Punguza hisia,nani amekwambia mimi ni Mkenya?Am talking about numbers sio any other porojo...bishana na namba but you wont change them,For you information UHURUTO hawakupigiwa kura na makabila mawili tu,again natumia hesabu,Wakikuyu na Kalenjin ni kama 34% ya wakenya,madai yako kuwa alipigiwa kura na makabila 2 kimahesabu hayakubaliki...endeleza porojo ila ukitaka ukweli cheki hesabu...mathematically it was not about distribution of votes,it was about 50% 1 vote...I repeat again,50% 1 vote.
Mkuu Lonestriker,hakuna mtu anabishana na namba hapa,tunachobishia ni mchakato wa upatikanaji wa hizo namba,hizo namba zinabakibaki hivyo hivyo na ndizo zitakazohukumu ukweli wa Raila au uongo wake.Africa hatutatakiwi kufumbia macho michakato mibovu na mifumo miovu ya upatikanaji wa viongozi wetu,lazima kila uovu uwao wote kwenye chaguzi zetu uwe adressed na hatua madhubuti zichukuliwe ili kuondoa uhuni ambao unatuuza nje kwamba bado hatujastaarabika,yote hii kwa sababu tu ya watu wachache ambao wapo tayari kutia kemikali kwenye mahesabu ya kura ili washinde nafasi za uongozi katika nchi zetu.Hapana,inatosha,lazima tuamke.Hizo asilimia tukaziongelee mahakamani.
 
Tatizo haya wasomi wa jukwaa hili hawalijui hili usemalo. Tatizo la wengi ni kama bendera kufuata upepo. Hawajui siasa za Kenya za ukabila kuwa ni vigumu kwa Rais wa nchi hiyo kama hujawa kibaraka wa wakubwa wa Kikuyu.
KUMBUKENI kuwa hili ya kibaraka wa watu wengine lilimshinda hata babake Raila na ndilo linalomshinda wakati huu.

Suala la Uhuru si kwa sababu anspendwa sana no.no.no.Bali kwa siasa za Kenya hata angebakia Martha Karua bila ya Kenyata ni lazima angeshinda tu kwa kuwa ni kutoka katika kabila la watawala.

Utasema mbona Moi alipewa madaraka? Mbona majibu ni sawa na ya Ruto kwa sasa?

Swali ni hili,,,,,Yaani Raila Odinga haelewi haya usemayo,,,ati ni lazima uwe kibaraka cha
wakikuyu ndivyo uwe Rais wa Kenya?????

Pili,,anaposema alishinda,,,kwani alitumia mbinu gani kushinda na bado yeye
si kibaraka cha wa Kikuyu?????

Tatu,,,,Rais Moi alikua kibaraka cha wakikuyu?????????kwani aliwahi
kutawala Kenya kwa miaka 24???????????
 
Mkuu Lonestriker,hakuna mtu anabishana na namba hapa,tunachobishia ni mchakato wa upatikanaji wa hizo namba,hizo namba zinabakibaki hivyo hivyo na ndizo zitakazohukumu ukweli wa Raila au uongo wake.Africa hatutatakiwi kufumbia macho michakato mibovu na mifumo miovu ya upatikanaji wa viongozi wetu,lazima kila uovu uwao wote kwenye chaguzi zetu uwe adressed na hatua madhubuti zichukuliwe ili kuondoa uhuni ambao unatuuza nje kwamba bado hatujastaarabika,yote hii kwa sababu tu ya watu wachache ambao wapo tayari kutia kemikali kwenye mahesabu ya kura ili washinde nafasi za uongozi katika nchi zetu.Hapana,inatosha,lazima tuamke.Hizo asilimia tukaziongelee mahakamani.

Ati rais wa Kenya,,,hiyo ni Kenya ipi??????

Yeye ni waziri mkuu anaye ondoka baada ya kuhudumu kwa
miaka 5 na hakua na chochote cha kuonesha wa Kenya vile
alivyo fanya hiyo miaka mitano.

Lakini,,,alijijengea ofisi ya shs 800,000,000(800 Million) na
kutumia wakati wake mwingi kwa kuzuru nchi za ng'ambo
na kutumia mapato ambayo yalikua yametokana na wanainchi,,
kiholela.

Alipokua akizuru kote duniani,,aliishi katika ma hoteli
ghali sana,,mfano,,wakati mmoja huko umarekani,,
alikua akilala katika hoteli ambayo ilikua ikimgharimu
mkenya Kshs 500,000 kwa siku.

Haya ndio maendeleo wakenya wangelipata kutokana
na huyu bwana.

Tena,,wengi walishindwa kujua wapi ma millioni ya
pesa kwa vijana ilipoenda.

Kashfa ya mahindi?????????

Kumalizia yote,,,,alitaka kusimamisha ndugu zake
wachaguliwe lakini watu wa Nyanza wakamkatalia.

Cord ndicho chama ambacho wengi wao waliwahi
kutaka kupitisha familia zao njia za mkato hadi
katika siasa na kuchuna mali ya umma.

Raila Odinga,,,ndugu wake wawili,,Henry Kosgey,,
mtoto wake aliye chaguliwa mbunge,,Sally Kosgey,
Kijana wake,,Rev Wanjiru,,kijana wake,,, Kajwang',,
ndugu yake Teejay aliye chaguliwa.

Iko list ndefu sana yakuonyesha,,,what kind of
reformist these guys are.

Bahati mzuri,,,,,mungu akaipenda Kenya na
angekubali hii inchi iwe mikononi mwa hawa
watu wa aina hii,,,,watu hata hawana
haibu hata ndogo.

Nikimalizia,,,,wengi hawana habari,,,kwamba,,,
pamoja na marupu rupu mengi aliyo kua nayo,,
ati ukweli ni kwamba bwana Raila Agwambo
alikua na mshahara mkubwa hata kuliko
rais Kibaki,,,amini usiamini.

Huyu ndiye ati,,,,kichekesho,,,,angewapeleka
wakenya,,ati,,,Canaan,,,,,,,,,?????????????
 
Watz bana kwa kupenda kupoteza muda sidhani kama wakenya wanafanyaga Hivi kwenye chaguzi zetu hata ukiwauliza rais wa tz hawamjui ni nani umbea tuuu na longolongo

wao wanajua mpaka sasa tunachama kimoja kinaitwa ccm!
 
Ati rais wa Kenya,,,hiyo ni Kenya ipi??????
Yeye ni waziri mkuu anaye ondoka baada ya kuhudumu kwa miaka 5 na hakua na chochote cha kuonesha wa Kenya vile
alivyo fanya hiyo miaka mitano. Lakini,,,alijijengea ofisi ya shs 800,000,000(800 Million) na
kutumia wakati wake mwingi kwa kuzuru nchi za ng'ambo
wengi hawana habari,,,kwamba,,, pamoja na marupu rupu mengi aliyo kua nayo,,
ati ukweli ni kwamba bwana Raila Agwambo alikua na mshahara mkubwa hata kuliko rais Kibaki,,,amini usiamini. Huyu ndiye ati,,,,kichekesho,,,,angewapeleka wakenya,,ati,,,Canaan
mm ninachotaka kumwambia toxic hivi ni kwanini ni lazima Odinga awe Rais, maana hata kura zikurudiwa hawezi kumzidi Uhuru, Yeye Odinga umri umeshamtupa angekubali kushindwa na akapumzike nyumbani
Na nyie Wajaluo Uhuru kapata kura kila Kituo, acheni ukabila kwani umeshapitw na wakati
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom