Kenyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 414
- 314
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kupitia ukurasa wake wa twitter amelalamikia kile alichokitaja kama kushambuliwa na maafisa wa polisi hasa katika eneo la Pipeline, Nairobi ambako msafara wake [kwa mujibu wa picha zilizoko hapo chini] umeshambuliwa kwa nguvu kupita kiasi.
Picha zinaonesha namna msafara wake ulivyoshambuliwa kwa kutumia kanoni za maji huku gari linalombeba Raila likiwa limeharibiwa vibaya kwa kutupiwa mabomu ya machozi.
Raila amemuonya Rais William Ruto na Naibu wake kwa kuandika:
"Siku zenu zinahesabika, na nyie basi muanze kuzihesabu."
Kwa sasa msafara huo upo barabara ya Outering ukijizatiti kuingia kati kati ya Jiji.
Picha zinaonesha namna msafara wake ulivyoshambuliwa kwa kutumia kanoni za maji huku gari linalombeba Raila likiwa limeharibiwa vibaya kwa kutupiwa mabomu ya machozi.
Raila amemuonya Rais William Ruto na Naibu wake kwa kuandika:
"Siku zenu zinahesabika, na nyie basi muanze kuzihesabu."
Kwa sasa msafara huo upo barabara ya Outering ukijizatiti kuingia kati kati ya Jiji.