herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,198
- 1,369
TZ ni wajinga wengiSisi ndiyo chaguzi zetu zikose hila ?!! Kwa tume hizi za kina Lubuva na huyu jamaa wa Zanzibar nimemsahau jina, mpaka leo anajificha jificha!!! Tz ndiyo hali ni mbaya sema WaTz hawajali sana.
Chaguzi za Africa siyo
Cairo's
Mkuu umehadithiwa au ndio unaamka?Nani aliwaambia walete ushaihidi? Sasa wamelaaniwa nani sasa hapa na nani kawalaani? Kinachoendelea hadi mikutano kupigwa marufuku,sheria iliyotaka mamlaka pekee yenye haki ya kutangaza matokeo na ikishatangaza hakuna mjadala zilikuja kwa nini?Sasa kuja wajazia wakenya haya mawazo yaliyopinda ili iwasaidie wao na wewe nini? Ni wajamaa tu ndio wanaodhani ujinga wao unahitajika na dunia.
Nyie wangapi?Mbona na sisi ni wananchi? Wapi watu waliambia walete ushahidi na lini?Habari za kuambiwa na kujipeleka mbele km vile umeshuhudia ndio maana waafrica kufika mbinguni ni ngumu.Ni waongo hadi kwa nafsi zao, wanaapa kwa niaba za wenzio km vile wenzao ni malaika wa kuminika milele na tk kila kitu.Kama unaongelea TZ sisi wananchi hatujasahau yaliyotokea. Haikutokea HATA SIKU moja jamaa wakasema kuwa kuna hata kata moja ambapo kura zilizotangazwa zilitofautiana na kura zilizosainiwa na mawakala. Kama unaamini watu makini wanaweza kudai kuwa wameibiwa bila kudai wameibiwa wapi jifikirie umakini wako pia.
Hawa jamaa wanajitamba na " demokrasia", lakini uchaguzi wao umejaa ukabila, ubaguzi, vurugu za kijinga na umwagaji damu. Najivunia kuwa Mtanzania kwa kweli.
Ahsante kwa matusi na kejeli, ila wewe unayejitambau unaona ni sawa kuua jirani yako sababu ya tofauti za makabila yenu tu ?Wewe ni mburula kutoka ccm, anayejitambua, aliyekwenda shule hawezi sema hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie wangapi?Mbona na sisi ni wananchi? Wapi watu waliambia walete ushahidi na lini?Habari za kuambiwa na kujipeleka mbele km vile umeshuhudia ndio maana waafrica kufika mbinguni ni ngumu.Ni waongo hadi kwa nafsi zao, wanaapa kwa niaba za wenzio km vile wenzao ni malaika wa kuminika milele na tk kila kitu.
Unajifanya kichaa ili usamehewe. Nini hujaelewa?Wapi Loawasa aliambiwa alete ushahidi akakataa? Na hata angeleta ushahidi unafahamu sheria ya bongo baada ya tume kutangaza kwa matokeo ya uraisi? Sasa habari za wanasesere unamletea nani hapa.Kushindwa kwako kutafsiri hoja kusiwe sababu ya kulazimisha ujinga kuwa sahihi.Usijitoe ufahamu ndugu yangu. Mtu akilalamoka kuibiwa haulizwi umeibiwa shilingi ngapi. Sema kura zangu kata hii zilikuwa kadhaa halafu tume ikatangaza kiasi hiki ambacho ni pungufu. Sasa kusema nimeibiwa bila ufafanuzi ni watu wa ajabu tu watakaokutilia maanani. Suala la kuambiwa ulete ushahidi ni baadaye. Baada ya kusema kura zilikuwa 27 lakini zikatangazwa 23 hapo ndio ushahidi utatakiwa sio kabla ya kutoa hoja. Hoja ni kuwa kura zangu jimbo fulani zimepunguzwa kiasi cah kura 10. Hapo waweza kuambiwa ulete ushahidi. Kusema tu nimeibiwa kura bila kutaja ngapi na wapi ni ngonjera ambazo zitatiliwa maanani na waliojivua ufahamu tu.
Unajifanya kichaa ili usamehewe. Nini hujaelewa?Wapi Loawasa aliambiwa alete ushahidi akakataa? Na hata angeleta ushahidi unafahamu sheria ya bongo baada ya tume kutangaza kwa matokeo ya uraisi? Sasa habari za wanasesere unamletea nani hapa.Kushindwa kwako kutafsiri hoja kusiwe sababu ya kulazimisha ujinga kuwa sahihi.