simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
PRESIDENT KENYATTA appoints Interior CS Matiang’i to chair a new committee of all CSes; to supervise all government projects, including Big Four agenda.
https://www.standardmedia.co.ke/article/2001310538/matiang-i-job-causes-jitters-in-ruto-campHow does this relates to the handshake?
We kutwa unaweweseka na watzHehehe! Sidhani kama hii inahusiana na handshake, rais Uhuru anataka kufanikisha hiyo 'big four' yake, muda unayoyoma na hatua anazopiga haziendi kwa kasi aliyotegemea, hivyo inabidi aweke waziri kichaa asimamie haya mambo, awe anajtoa ufahamu na kufanikisha kwa kasi.
La handshake lipo na haliondoki, maana anajua asipoendana na Raila, hatofanikisha chochote maana Raila atamsumbua sana, upande wa Ruto hamna tatizo maana Ruto leo hii naibu wa rais, anazo nguvu za dola na serikali yote iko kwenye kganja chake, hiyo kwa kingereza tunaita head-start, Ruto ni kiongozi mjanja sana na anajua jins gan ya kutumia mamlaka yake, tena subri uone atakua wa kwanza kupongeza uteule wa waziri Matiang'i kuwa mkuu wa miradi.
Halaafu wewe simplemind vipi siasa za Zenji, mnafaa na nyie muige handshake ya kuwakutanisha Shein na Seif wasalimiane kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa, pia kama Magufuli na Lowassa walivyoiga handshake ya Kenya. Muungane katika kuunga mikono juhudi za wakulu...hehehe najua hapo nimetupa jiwe gizani.
We lead others follow - baada ya muafaka (Karume na Maalim) kuliundwa serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar hadi spoilers walipo vuruga Uchaguzi uliopita na kupelekea CUF kususia uchaguzi wa marudio.Hehehe! Sidhani kama hii inahusiana na handshake, rais Uhuru anataka kufanikisha hiyo 'big four' yake, muda unayoyoma na hatua anazopiga haziendi kwa kasi aliyotegemea, hivyo inabidi aweke waziri kichaa asimamie haya mambo, awe anajtoa ufahamu na kufanikisha kwa kasi.
La handshake lipo na haliondoki, maana anajua asipoendana na Raila, hatofanikisha chochote maana Raila atamsumbua sana, upande wa Ruto hamna tatizo maana Ruto leo hii naibu wa rais, anazo nguvu za dola na serikali yote iko kwenye kganja chake, hiyo kwa kingereza tunaita head-start, Ruto ni kiongozi mjanja sana na anajua jins gan ya kutumia mamlaka yake, tena subri uone atakua wa kwanza kupongeza uteule wa waziri Matiang'i kuwa mkuu wa miradi.
Halaafu wewe simplemind vipi siasa za Zenji, mnafaa na nyie muige handshake ya kuwakutanisha Shein na Seif wasalimiane kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa, pia kama Magufuli na Lowassa walivyoiga handshake ya Kenya. Muungane katika kuunga mikono juhudi za wakulu...hehehe najua hapo nimetupa jiwe gizani.
Checkmate, by force! Hahaha! 😀..... and the game of political chess continues.simplemind Nilikuambia Ruto ni mwanasiasa mjanja sana wa level nyingine isiyo ya kawaida, soma hapa
Ruto backs Matiang’i elevation, asks civil servants to comply
Ruto backs Matiang’i elevation, asks civil servants to comply