Raila's withdrawal is a good thing for Kenya

Raila's withdrawal is a good thing for Kenya

Jay456watt

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2016
Posts
10,356
Reaction score
7,992
Kwa mtazamo wangu, kuondoka kwa Raila kutazuia ghasia na vita ambavyo vingeibuka baada ya uchaguzi wa Oct 26. Tayari IEBC wameshasema kuwa hawatofanya mabadiliko ambayo NASA ilikuwa ikiamrisha na kwa hiyo kama Odinga angeshindwa tena katika uchaguzi wa pili, bila shaka wafuasi wake wangezua rabsha haswa katika maeneo ya Kisumu, Mathare na Kibera. Kwa sasa Odinga hawezi akathubutu kulaumu yeyote sababu amejitoa mwenyewe toka kinyang'anyironi bila ya kuambiwa na mtu yeyote. Kwa mtazamo wangu, uamuzi huo ndio ulikuwa mwisho wa uwepo wake katika siasa za Kenya. Uchaguzi unaweza ukaandaliwa hata ikiwa Kenyatta hana mpinzani. Kujitoa kwake kunaleta taharuki ya kikatiba ila kwangu mimi naona it is the best thing for Kenya. Itazuia vita na kuathirika kwa uchumi. Hakuna chochote kile ambacho kingezuia vita baada ya uchaguzi wa Oct 26. wafuasi wa Odinga huwa very violent and to some extent, unreasonable. bila shaka wangezua rabsha tu hata KDF, SWAT na FBI wakipelekwa kule. Damu lazima ingemwagika.
kenyatta-odinga-kenya.png


Forgive my Swahili. I gave it my best shot.
 
Mh raila alishindwa kabla hata hajagoma ikiwa wabunge weng n wa uhuru huyu raila anashinda wapi
inaweza kuwa Odinga aliona hilo mapema na ndio maana akajiondoa ili kuepuka aibu....Jubilee ina wabunge wengi bungeni pamoja na majority of Governors and Senatirs. Pili, hajatumia muda wake kupiga kampeni kama vile Kenyatta amefanya...amekuwa akifanya tu maandamano ya IEBC
 
inaweza kuwa Odinga aliona hilo mapema na ndio maana akajiondoa ili kuepuka aibu....Jubilee ina wabunge wengi bungeni pamoja na majority of Governors and Senatirs. Pili, hajatumia muda wake kupiga kampeni kama vile Kenyatta amefanya...amekuwa akifanya tu maandamano ya IEBC
Sawa kabisa mkuu maana kasoro walizosema ni kuwa kuna fom zilikosa kusiniwa ina maana hazikuthibirshwa sasa kama hazikuthibitishwa na hapo ndipo utata umeanza uhuru aliomba kura kwa vile zipo zihesabiwe upya wakagoma ikaonekana uhuru labda keshaongeza kura katika masanduku sasa limekuja swala la kurudio uhur kakubali na wamekubali kuepuka ule udhaifu wa mwanzo mtu anagoma huu n upuuz
 
kulikuwa hakuna uwezekano wa kitendawili kushinda, hilo hata yeye aliliona ndo maana ametafuta njia ya kutokea ili kuzuia aibu
 
inaweza kuwa Odinga aliona hilo mapema na ndio maana akajiondoa ili kuepuka aibu....Jubilee ina wabunge wengi bungeni pamoja na majority of Governors and Senatirs. Pili, hajatumia muda wake kupiga kampeni kama vile Kenyatta amefanya...amekuwa akifanya tu maandamano ya IEBC
Ila kama alijua hivyo na alaumiwe sana kwa kulitia gharama taifa... Umelalamika ukapewa haki yako afu unakimbia kuitumia...

Anajua fika kabisa Uhuru alishamshinda na angemshinda tena. Raila akapumzike sasa, umri wake haumruhusu tena kupambana kwenye Siasa. Anaweza kwenda Chato kupata hifadhi na huruma ya swahiba wake Magufuli.
 
Sawa kabisa mkuu maana kasoro walizosema ni kuwa kuna fom zilikosa kusiniwa ina maana hazikuthibirshwa sasa kama hazikuthibitishwa na hapo ndipo utata umeanza uhuru aliomba kura kwa vile zipo zihesabiwe upya wakagoma ikaonekana uhuru labda keshaongeza kura katika masanduku sasa limekuja swala la kurudio uhur kakubali na wamekubali kuepuka ule udhaifu wa mwanzo mtu anagoma huu n upuuz
ni kweli Uhuru aliomba kura zihesabiwe tena ila ilikuwa baada ya koti kuamrisha uchaguzi wa marudio..Mara nyingi koti ndio ina usemi wa mwisho..
 
Ila kama alijua hivyo na alaumiwe sana kwa kulitia gharama taifa... Umelalamika ukapewa haki yako afu unakimbia kuitumia...

Anajua fika kabisa Uhuru alishamshinda na angemshinda tena. Raila akapumzike sasa, umri wake haumruhusu tena kupambana kwenye Siasa. Anaweza kwenda Chato kupata hifadhi na huruma ya swahiba wake Magufuli.
tayari gharama wananchi wameibeba...hawa viongozi huwa hawajali gharama kwa mwananchi wa kawaida..wanajali tu vijitumbo vyao.
 
inaweza kuwa Odinga aliona hilo mapema na ndio maana akajiondoa ili kuepuka aibu....Jubilee ina wabunge wengi bungeni pamoja na majority of Governors and Senatirs. Pili, hajatumia muda wake kupiga kampeni kama vile Kenyatta amefanya...amekuwa akifanya tu maandamano ya IEBC
Ila mi chandomo ikija huku bongo inasema eti iliibiwa kura wakati hata idadi ya wabunge chama chetu cha CCM kniwazidi mabili kinoma. Ila wapinzani wetu wamechanganyikiwa
 
Ila mi chandomo ikija huku bongo inasema eti iliibiwa kura wakati hata idadi ya wabunge chama chetu cha CCM kniwazidi mabili kinoma. Ila wapinzani wetu wamechanganyikiwa
wote huwa wanaona kuwa waliibiwa....yaani siasa za Afrika taabu
 
tayari gharama wananchi wameibeba...hawa viongozi huwa hawajali gharama kwa mwananchi wa kawaida..wanajali tu vijitumbo vyao.
Yeah... wabinafsi sana. Hivi sasa Kenya ingekuwa inasonga mbele kwa mambo ya msingi, sio kuzunguka kuomba kura ambazo hazikuwa na maana yoyote... Raila katia hasara na aibu kubwa sana kwenye nchi yake.
 
Kwa mtazamo wangu, kuondoka kwa Raila kutazuia ghasia na vita ambavyo vingeibuka baada ya uchaguzi wa Oct 26. Tayari IEBC wameshasema kuwa hawatofanya mabadiliko ambayo NASA ilikuwa ikiamrisha na kwa hiyo kama Odinga angeshindwa tena katika uchaguzi wa pili, bila shaka wafuasi wake wangezua rabsha haswa katika maeneo ya Kisumu, Mathare na Kibera. Kwa sasa Odinga hawezi akathubutu kulaumu yeyote sababu amejitoa mwenyewe toka kinyang'anyironi bila ya kuambiwa na mtu yeyote. Kwa mtazamo wangu, uamuzi huo ndio ulikuwa mwisho wa uwepo wake katika siasa za Kenya. Uchaguzi unaweza ukaandaliwa hata ikiwa Kenyatta hana mpinzani. Kujitoa kwake kunaleta taharuki ya kikatiba ila kwangu mimi naona it is the best thing for Kenya. Itazuia vita na kuathirika kwa uchumi. Hakuna chochote kile ambacho kingezuia vita baada ya uchaguzi wa Oct 26. wafuasi wa Odinga huwa very violent and to some extent, unreasonable. bila shaka wangezua rabsha tu hata KDF, SWAT na FBI wakipelekwa kule. Damu lazima ingemwagika.
kenyatta-odinga-kenya.png


Forgive my Swahili. I gave it my best shot.


Unafikiri Raila Odinga ni mjinga? Subiri kitakachofwatia nchini Kenya, Uhuru Kenya hawezi kuongoza amani, sasa hivi Raila anakwenda kuchukuwa maelekezo ktk kwa Muzungu nini cha kufanya next!
 
Ila mi chandomo ikija huku bongo inasema eti iliibiwa kura wakati hata idadi ya wabunge chama chetu cha CCM kniwazidi mabili kinoma. Ila wapinzani wetu wamechanganyikiwa
Afu fisiemu haohao wakijua swahiba wao Ojinga kashindwa kama chandomo bado wakawa wanampigia chapuo... fisiemu hawakujua Kenya kuna Uhuru... Siasa za kiafrika za kibwege sana... bora uwe mkulima uende mbinguni.
 
Unafikiri Raila Odinga ni mjinga? Suburi itakayofwatia nchini Kenya, Uhuru Kenya hawezi kuongoza amani, sasa hivi Raila anakwenda kuchukuwa maelekezo ktk kwa Muzungu nini cha kufanya next!
lakini atleast imezuia vita hata kama ni kwa muda mfupi...mimi hata nilikuwa napanga kuhama mpaka tensio zipungue ila kujitoa kwa odinga kunarahisisha maneno...akileta fujo odinga atakamatwa sababu hamna aliyemwambia ajiondoe toka uchaguzi...aliamua yeye mwenyewe
 
Afu fisiemu haohao wakijua swahiba wao Ojinga kashindwa kama chandomo bado wakawa wanampigia chapuo... fisiemu hawakujua Kenya kuna Uhuru... Siasa za kiafrika za kibwege sana... bora uwe mkulima uende mbinguni.
CCM hatukumpigia debe. Wala hatujawahi kushabikia siasa za Kenya kwa sababu CCM ni serikali, hatuwezi kuingilia siasa za jirani zetu. Ila chandomo sasa ndiyo vituko kweli kweli, yaani uwezo wao kuchambua mambo hauna mantiki. Ila Msigwa juzi kati hapa alionesha kumbe kazi yao ni kupinga tuuuuuu, yaani kwa msigwa hata yeye ikitokea kajiunga CCM basi ataanza kupinga tu ya chandomo as long as hayupo huko.
 
Raila amesepa na pesa zetu za mchango, naomba mahakama ingilie kati angalau alejeshe nusu yake
 
CCM hatukumpigia debe. Wala hatujawahi kushabikia siasa za Kenya kwa sababu CCM ni serikali, hatuwezi kuingilia siasa za jirani zetu. Ila chandomo sasa ndiyo vituko kweli kweli, yaani uwezo wao kuchambua mambo hauna mantiki. Ila Msigwa juzi kati hapa alionesha kumbe kazi yao ni kupinga tuuuuuu, yaani kwa msigwa hata yeye ikitokea kajiunga CCM basi ataanza kupinga tu ya chandomo as long as hayupo huko.
He... kumbe wewe ndo wale wale. Wote Fisiemu na chandomo hawana tofauti... yani wote mabwege tu, hawana lolote.
 
Kwa mtazamo wangu, kuondoka kwa Raila kutazuia ghasia na vita ambavyo vingeibuka baada ya uchaguzi wa Oct 26. Tayari IEBC wameshasema kuwa hawatofanya mabadiliko ambayo NASA ilikuwa ikiamrisha na kwa hiyo kama Odinga angeshindwa tena katika uchaguzi wa pili, bila shaka wafuasi wake wangezua rabsha haswa katika maeneo ya Kisumu, Mathare na Kibera. Kwa sasa Odinga hawezi akathubutu kulaumu yeyote sababu amejitoa mwenyewe toka kinyang'anyironi bila ya kuambiwa na mtu yeyote. Kwa mtazamo wangu, uamuzi huo ndio ulikuwa mwisho wa uwepo wake katika siasa za Kenya. Uchaguzi unaweza ukaandaliwa hata ikiwa Kenyatta hana mpinzani. Kujitoa kwake kunaleta taharuki ya kikatiba ila kwangu mimi naona it is the best thing for Kenya. Itazuia vita na kuathirika kwa uchumi. Hakuna chochote kile ambacho kingezuia vita baada ya uchaguzi wa Oct 26. wafuasi wa Odinga huwa very violent and to some extent, unreasonable. bila shaka wangezua rabsha tu hata KDF, SWAT na FBI wakipelekwa kule. Damu lazima ingemwagika.
kenyatta-odinga-kenya.png


Forgive my Swahili. I gave it my best shot.
Something alerts me that things may not be as easier as u think,
Siasa za Africa zimejaa sarakasi sana, I blame both of them, Uhuru and Odinga.
 
Back
Top Bottom