Rais ajaye

Makamu wa Rais to Rais Big No... Imekuwa kwa Samia Hassan kwasababu ya special case 😎
 
We unajua Urais ni Rahisi?
Hana sifa ya Kuwa Rais

TANZANIA Bwana
 
Tatizo mijadala hii inatakiwa kugawanywa kwa viwango. Na hii ndio sababu mnawapa shida moderators kwa sbabu ya uwezo hafifu wa kuelewa. Pole sana.
acha kuchenga chenga mambo hakuna asie jua hilo, umeweka picha ya nani na huyo ni nani sasa hivi ?
 
Tatizo mijadala hii inatakiwa kugawanywa kwa viwango. Na hii ndio sababu mnawapa shida moderators kwa sbabu ya uwezo hafifu wa kuelewa. Pole sana.
Huna akili wewe ndio maana unakuwa mwepesi kuona wengine hawana akili. Rudia kusoma comment yangu ya kwanza na nilichokujibu baada ya ku quote ulicho andika ndio utajiona ulivyo mkurupukaji
 
Hayo maneno ya kiarabu hapo vipi au sio TZ🤷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…