Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Baada ya report ya CAG kuweka wazi wizi na madudu yanayoendelea huko serikalini, Kiongozi makini na mzalendo alipaswa kukaa pembeni kupisha uchunguzi.
Lakini tujiulize, Kiongozi aliyeteleza kwa kuzungumza hadharani, iwe kwa ukweli au kwa uongo kwamba "kuna siku nchi itapigwa mnada kwa madeni" Lakini akalazimishwa kujiuzulu, Je, Vipi kuhusu yule anayeruhusu na kuidhinisha mabilioni ya watanzania wanaoteseka na umasikini maradhi na ujinga yaibiwe? Yupi haswa aliyepaswa kujiuzulu?
Lakini tujiulize, Kiongozi aliyeteleza kwa kuzungumza hadharani, iwe kwa ukweli au kwa uongo kwamba "kuna siku nchi itapigwa mnada kwa madeni" Lakini akalazimishwa kujiuzulu, Je, Vipi kuhusu yule anayeruhusu na kuidhinisha mabilioni ya watanzania wanaoteseka na umasikini maradhi na ujinga yaibiwe? Yupi haswa aliyepaswa kujiuzulu?