Elections 2010 Rais anafanya kazi ya "Kugonga tano" na watoto badala ya kumwaga sera

Elections 2010 Rais anafanya kazi ya "Kugonga tano" na watoto badala ya kumwaga sera

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
10,827
Reaction score
4,176
JK kweli anapenda mzaha.

Kwa kuwa mikutano yake inajaa watoto wa shule, basi siku hizi anachokifanya kila anakopita ni kucheza kidali po na watoto wadogo.

Hivi munaoshabikia JK muna akili nzuri kweli? Hasa MS
 
Back
Top Bottom