Rais anahimiza watu kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, Waziri anawaambia wanaojiandikisha kura zenu si kitu

Rais anahimiza watu kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, Waziri anawaambia wanaojiandikisha kura zenu si kitu

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Ukisikia dharau, hii imepita kiwango cha kawaida cha dharau.

Rais Samia na 4R zake Kila anakopita anahimiza Wananchi kujitokeza kuboresha Taarifa zao kwenye daftari la Wapiga Kura na àmbao hawana vitambulisha kutokana na umri au vimepotea wachukue vipya. Kisha anamalizia Kwa kuwataka wajitokeze Kwa wingi October 2024 na 2025.

Moja Kati ya aibu kubwa na jinsi jinsi uongozi unavyokosa kuheshimika ni pale unapochaguliwa na wapiga Kura wachache huku wengi wakikataa kwenda kupiga Kura wakati Wana sifa zote. Tuchukulie nchi ina wapiga Kura milioni 32, lakini waliojitokeza kupiga Kura ni milioni 7. Rais anasinda na mil.5 ambayo ni 71.4% ya waliojitokeza kupiga Kura. Kwa macho ni ushindi mkubwa, lakini kumbuka watu mil.5 ni asilimia 15.6 tu ya wapiga Kura Mil.32. Uwiano huu kisiasa utampa mtikisiko mshindi hata kama atajikaza na kusema nimeshinda kihalali.

Wakati Rais akihimiza watu kupenda kushiriki uchaguzi ghafla anajitokeza Mteule wake na kauli za "kipuuzi" alizozoea na kuwaambia wapiga Kura kwamba hata wajitokeze kupiga Kura, wao si muhimu kuliko Wasimamizi wa uchaguzi wanaohesabu na kutangaza matokeo. Kiufupi ni dharau Kwa wapiga Kura kwamba si lazima mliyemchagua atangazwe kuwa mshindi Bali ushindi unategemea matakwa ya msimamizi wa uchaguzi na aliyemteua.

Kama Mh Rais atanyamazia hili bila kuchukua hatua ya kumwajibisha Msemaji basi Wananchi wajue kauli ya Nape ina baraka za Mteuzi wake japokuwa sitaki kuamini hilo.

Mara nyingi nimekuwa nikisema yawezekana Samia alikuwa na nia njema Sana na demokrasia ya Nchi hii mara alipochukua Urais. Lakini ghafla Kwa Udhaifu WA kibinadamu akapelekewa lundo la ushawishi wa ovyo toka Kwa watu kama Nape na ghafla akaanza kukamata Wapinzani, kupuuza madai ya katiba mpya nk.

Mimi ni Tomaso, nasubiri kuona.

Soma=> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
 
Ukisikia dharau, hii imepita kiwango cha kawaida cha dharau.

Rais Samia na 4R zake Kila anakopita anahimiza Wananchi kujitokeza kuboresha Taarifa zao kwenye daftari la Wapiga Kura na àmbao hawana vitambulisha kutokana na umri au vimepotea wachukue vipya. Kisha anamalizia Kwa kuwataka wajitokeze Kwa wingi October 2024 na 2025.

Moja Kati ya aibu kubwa na jinsi jinsi uongozi unavyokosa kuheshimika ni pale unapochaguliwa na wapiga Kura wachache huku wengi wakikataa kwenda kupiga Kura wakati Wana sifa zote. Tuchukulie nchi ina wapiga Kura milioni 32, lakini waliojitokeza kupiga Kura ni milioni 7. Rais anasinda na mil.5 ambayo ni 71.4% ya waliojitokeza kupiga Kura. Kwa macho ni ushindi mkubwa, lakini kumbuka watu mil.5 ni asilimia 15.6 tu ya wapiga Kura Mil.32. Uwiano huu kisiasa utampa mtikisiko mshindi hata kama atajikaza na kusema nimeshinda kihalali.

Wakati Rais akihimiza watu kupenda kushiriki uchaguzi ghafla anajitokeza Mteule wake na kauli za "kipuuzi" alizozoea na kuwaambia wapiga Kura kwamba hata wajitokeze kupiga Kura, wao si muhimu kuliko Wasimamizi wa uchaguzi wanaohesabu na kutangaza matokeo. Kiufupi ni dharau Kwa wapiga Kura kwamba si lazima mliyemchagua atangazwe kuwa mshindi Bali ushindi unategemea matakwa ya msimamizi wa uchaguzi na aliyemteua.

Kama Mh Rais atanyamazia hili bila kuchukua hatua ya kumwajibisha Msemaji basi Wananchi wajue kauli ya Nape ina baraka za Mteuzi wake japokuwa sitaki kuamini hilo.

Mara nyingi nimekuwa nikisema yawezekana Samia alikuwa na nia njema Sana na demokrasia ya Nchi hii mara alipochukua Urais. Lakini ghafla Kwa Udhaifu WA kibinadamu akapelekewa lundo la ushawishi wa ovyo toka Kwa watu kama Nape na ghafla akaanza kukamata Wapinzani, kupuuza madai ya katiba mpya nk.

Mimi ni Tomaso, nasubiri kuona.

Soma=> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Juhudi hizi mbona zinahujumiwa na mzee wa bao la mkono,na inategemea anayehesabu lile boksi la kula,na pindi anapomaliza uhesabuji ana sema Mungu nisamehe nilipo iba kula.
 
Mbowe asali imemkolea!anasema atashiriki uchaguzi bila katiba mpya eti mbona 2015 walishinda wabunge wengi!!?

Kumbe mbowe Hana mpangoe na urais bali ubunge ili apate ruzuku za chama!!
 
Mbowe asali imemkolea!anasema atashiriki uchaguzi bila katiba mpya eti mbona 2015 walishinda wabunge wengi!!?

Kumbe mbowe Hana mpangoe na urais bali ubunge ili apate ruzuku za chama!!
Hata iwapo ingekuwa namba 100 ijayo pambaneni na maandalizi ya kumwomba Mungu msamaha baada ya kwapuzi kwenye sanduku la kula.
 
Ukisikia dharau, hii imepita kiwango cha kawaida cha dharau.

Rais Samia na 4R zake Kila anakopita anahimiza Wananchi kujitokeza kuboresha Taarifa zao kwenye daftari la Wapiga Kura na àmbao hawana vitambulisha kutokana na umri au vimepotea wachukue vipya. Kisha anamalizia Kwa kuwataka wajitokeze Kwa wingi October 2024 na 2025.

Moja Kati ya aibu kubwa na jinsi jinsi uongozi unavyokosa kuheshimika ni pale unapochaguliwa na wapiga Kura wachache huku wengi wakikataa kwenda kupiga Kura wakati Wana sifa zote. Tuchukulie nchi ina wapiga Kura milioni 32, lakini waliojitokeza kupiga Kura ni milioni 7. Rais anasinda na mil.5 ambayo ni 71.4% ya waliojitokeza kupiga Kura. Kwa macho ni ushindi mkubwa, lakini kumbuka watu mil.5 ni asilimia 15.6 tu ya wapiga Kura Mil.32. Uwiano huu kisiasa utampa mtikisiko mshindi hata kama atajikaza na kusema nimeshinda kihalali.

Wakati Rais akihimiza watu kupenda kushiriki uchaguzi ghafla anajitokeza Mteule wake na kauli za "kipuuzi" alizozoea na kuwaambia wapiga Kura kwamba hata wajitokeze kupiga Kura, wao si muhimu kuliko Wasimamizi wa uchaguzi wanaohesabu na kutangaza matokeo. Kiufupi ni dharau Kwa wapiga Kura kwamba si lazima mliyemchagua atangazwe kuwa mshindi Bali ushindi unategemea matakwa ya msimamizi wa uchaguzi na aliyemteua.

Kama Mh Rais atanyamazia hili bila kuchukua hatua ya kumwajibisha Msemaji basi Wananchi wajue kauli ya Nape ina baraka za Mteuzi wake japokuwa sitaki kuamini hilo.

Mara nyingi nimekuwa nikisema yawezekana Samia alikuwa na nia njema Sana na demokrasia ya Nchi hii mara alipochukua Urais. Lakini ghafla Kwa Udhaifu WA kibinadamu akapelekewa lundo la ushawishi wa ovyo toka Kwa watu kama Nape na ghafla akaanza kukamata Wapinzani, kupuuza madai ya katiba mpya nk.

Mimi ni Tomaso, nasubiri kuona.

Soma=> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Mama mwenyewe alishawahi kusema hata mkipeleka kura kule tunazichukua na kuweka huku
 
Viongozi wetu wa dini hususani wakatoliki,CCT, Bakwata tafadhalini tokeni hadharani mkemee hizi kauli chochezi kwa Nyaraka Mahsusi msingoje kusema baada ya hali kuharibika km 2019/2020,kuna mwelekeo huo tena,TEC baba Mufti semeni kitu.
 
Ukisikia dharau, hii imepita kiwango cha kawaida cha dharau.

Rais Samia na 4R zake Kila anakopita anahimiza Wananchi kujitokeza kuboresha Taarifa zao kwenye daftari la Wapiga Kura na àmbao hawana vitambulisha kutokana na umri au vimepotea wachukue vipya. Kisha anamalizia Kwa kuwataka wajitokeze Kwa wingi October 2024 na 2025.

Moja Kati ya aibu kubwa na jinsi jinsi uongozi unavyokosa kuheshimika ni pale unapochaguliwa na wapiga Kura wachache huku wengi wakikataa kwenda kupiga Kura wakati Wana sifa zote. Tuchukulie nchi ina wapiga Kura milioni 32, lakini waliojitokeza kupiga Kura ni milioni 7. Rais anasinda na mil.5 ambayo ni 71.4% ya waliojitokeza kupiga Kura. Kwa macho ni ushindi mkubwa, lakini kumbuka watu mil.5 ni asilimia 15.6 tu ya wapiga Kura Mil.32. Uwiano huu kisiasa utampa mtikisiko mshindi hata kama atajikaza na kusema nimeshinda kihalali.

Wakati Rais akihimiza watu kupenda kushiriki uchaguzi ghafla anajitokeza Mteule wake na kauli za "kipuuzi" alizozoea na kuwaambia wapiga Kura kwamba hata wajitokeze kupiga Kura, wao si muhimu kuliko Wasimamizi wa uchaguzi wanaohesabu na kutangaza matokeo. Kiufupi ni dharau Kwa wapiga Kura kwamba si lazima mliyemchagua atangazwe kuwa mshindi Bali ushindi unategemea matakwa ya msimamizi wa uchaguzi na aliyemteua.

Kama Mh Rais atanyamazia hili bila kuchukua hatua ya kumwajibisha Msemaji basi Wananchi wajue kauli ya Nape ina baraka za Mteuzi wake japokuwa sitaki kuamini hilo.

Mara nyingi nimekuwa nikisema yawezekana Samia alikuwa na nia njema Sana na demokrasia ya Nchi hii mara alipochukua Urais. Lakini ghafla Kwa Udhaifu WA kibinadamu akapelekewa lundo la ushawishi wa ovyo toka Kwa watu kama Nape na ghafla akaanza kukamata Wapinzani, kupuuza madai ya katiba mpya nk.

Mimi ni Tomaso, nasubiri kuona.

Soma=> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Huyu hapa kichwa maji angalia anavyovuruga kazi nzuri ya Rais
IMG-20240718-WA0046.jpg
 
Ameshaomba radhi, yatosha 🐼
Hata akiomba radhi huku tume ya uchaguzi bado iko chini ya mwenyekiti wa ccm ni kuchorana tu. Hata Nape asingesema alichosema, ukweli ni kuwa kupiga kura zisizoheshimiwa ni matumizi mabaya ya raslimali muda.

Anachofanya Samia ni kutaka kujitokeza wapiga kura wengi ili ionekane anapendwa, na watu wamerejesha imani kwenye box la kura kutokana na utapeli wa 4r zake. Na kwenye uchaguzi huo wamepanga kuwapa wapinzani kudhaa viti ili kuhadaa umma kuwa kuna kutenda haki.

Ukweli ni kuwa ccm haiwezi kukubali tena uchaguzi wa haki, maana haiwezi kushinda tena kihalali maana sio chama cha kizazi hiki, na alichosema Nape ndio msimamo wa ccm, hata kama wanazuga. Ushauri kwa wananchi, wasijitokeze kwa wingi kuendelea kushiriki chaguzi za kihuni hadi mabadiliko ya kweli, kuanzia tume huru ya uchaguzi na katiba mpya.
 
Mbowe asali imemkolea!anasema atashiriki uchaguzi bila katiba mpya eti mbona 2015 walishinda wabunge wengi!!?

Kumbe mbowe Hana mpangoe na urais bali ubunge ili apate ruzuku za chama!!
Kwa sasa Mbowe bora akae pembeni tu kwenye siasa. Anadhani bado wananchi wana imani naye kama ilivyokuwa huko nyuma? Alipaswa kusoma alama za nyakati na kujua kuwa wananchi tumeshastukua siasa za kitapeli, na hatuko tayari tena kwa chaguzi za kuhuni. Yeye na wenzake kadhaa wameahidiwa viti vya ubunge na udiwani, sasa anataka kutuhadaa tushiriki kwenye chaguzi ambazo kura haziheshimiwi! Yeye adeal na tatizo la viongozi wa chama chake tuliowachagua kwa jasho na damu, kisha wakaenda kuunga juhudi.
 
Hata iweje Nape ndiyo ccm, wengine vidampa tu. Mwenyekiti na makamu wa ccm taifa ni raia wa nchi jirani (momoja mzanzibari mwingine msomali), watamfanya nini Nape, mtoto wa mjini? Waiimgusa watafurushwa kama wezi.
 
Ukisikia dharau, hii imepita kiwango cha kawaida cha dharau.

Rais Samia na 4R zake Kila anakopita anahimiza Wananchi kujitokeza kuboresha Taarifa zao kwenye daftari la Wapiga Kura na àmbao hawana vitambulisha kutokana na umri au vimepotea wachukue vipya. Kisha anamalizia Kwa kuwataka wajitokeze Kwa wingi October 2024 na 2025.

Moja Kati ya aibu kubwa na jinsi jinsi uongozi unavyokosa kuheshimika ni pale unapochaguliwa na wapiga Kura wachache huku wengi wakikataa kwenda kupiga Kura wakati Wana sifa zote. Tuchukulie nchi ina wapiga Kura milioni 32, lakini waliojitokeza kupiga Kura ni milioni 7. Rais anasinda na mil.5 ambayo ni 71.4% ya waliojitokeza kupiga Kura. Kwa macho ni ushindi mkubwa, lakini kumbuka watu mil.5 ni asilimia 15.6 tu ya wapiga Kura Mil.32. Uwiano huu kisiasa utampa mtikisiko mshindi hata kama atajikaza na kusema nimeshinda kihalali.

Wakati Rais akihimiza watu kupenda kushiriki uchaguzi ghafla anajitokeza Mteule wake na kauli za "kipuuzi" alizozoea na kuwaambia wapiga Kura kwamba hata wajitokeze kupiga Kura, wao si muhimu kuliko Wasimamizi wa uchaguzi wanaohesabu na kutangaza matokeo. Kiufupi ni dharau Kwa wapiga Kura kwamba si lazima mliyemchagua atangazwe kuwa mshindi Bali ushindi unategemea matakwa ya msimamizi wa uchaguzi na aliyemteua.

Kama Mh Rais atanyamazia hili bila kuchukua hatua ya kumwajibisha Msemaji basi Wananchi wajue kauli ya Nape ina baraka za Mteuzi wake japokuwa sitaki kuamini hilo.

Mara nyingi nimekuwa nikisema yawezekana Samia alikuwa na nia njema Sana na demokrasia ya Nchi hii mara alipochukua Urais. Lakini ghafla Kwa Udhaifu WA kibinadamu akapelekewa lundo la ushawishi wa ovyo toka Kwa watu kama Nape na ghafla akaanza kukamata Wapinzani, kupuuza madai ya katiba mpya nk.

Mimi ni Tomaso, nasubiri kuona.

Soma=> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Tunapolaumu Nape tukumbuke alichowahi kukisema mwenyekiti wa chama chake, kwa mdomo wake aliwahi kusema "chagueni upande ule lakini CCM ndiyo itaunda serikali"!
 
Back
Top Bottom