Pre GE2025 Rais anakwenda kufanya show au kukagua miradi ya maendeleo? Maelezo tafadhali

Pre GE2025 Rais anakwenda kufanya show au kukagua miradi ya maendeleo? Maelezo tafadhali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Nimeshangazwa sana kuona tangazo hili, Hii ni kampeni au utekelezaji wa majukumu ya kiongozi aliyepewa dhamana na wananchi? Sikumbuki kama Nyerere alishawahi kufanya haya pindi alipoenda kukagua au kufanya ziara za maendeleo hapa nchini. Gharama hizi zinatoka mfuko gani? Kwa umuhimu gani? Ili kumfurahisha nani? Je, Diamond naye anakwenda kukagua miradi?

Tunaomba majibu kutoka wizara husika.

20240806_102541.jpg
 
Nyerere alikuwa anatawala enzi za ujima ambapo music industry ilikuwa poor. Hata hivyo wanenguaji wa ngoma za asili walicheza mbele yake.

Halafu ni hivi, katika kufikisha ujumbe, Sanaa ni moja ya kazi yake.

Ingekuwa umemaliza hata form four ungekuwa unayajua haya.
 
Nyerere alikuwa anatawala enzi za ujima ambapo music industry ilikuwa poor. Hata hivyo wanenguaji wa ngoma za asili walicheza mbele yake.

Halafu ni hivi, katika kufikisha ujumbe, Sanaa ni moja ya kazi yake.

Ingekuwa umemaliza hata form four ungekuwa unayajua haya.
Ni ziara ya kufikisha ujumbe wa kampeni kwamba watu watumie neti kujikinga na Malaria kwa manufaa yao? Au ni ziara ya aina gani? Kukagua miradi ya maendeleo unahitaji kufikisha ujumbe gani?
 
Ni ziara ya kufikisha ujumbe wa kampeni kwamba watu watumie neti kujikinga na Malaria kwa manufaa yao? Au ni ziara ya aina gani? Kukagua miradi ya maendeleo unahitaji kufikisha ujumbe gani?
Kwamba rais Hana ujumbe Kwa wananchi wake?

Yaani unataka kuniambia rais anatembea tu bila kizungumza chochote?

Na shule ulienda?
 
Nimeshangazwa sana kuona tangazo hili, Hii ni kampeni au utekelezaji wa majukumu ya kiongozi aliyepewa dhamana na wananchi? Sikumbuki kama Nyerere alishawahi kufanya haya pindi alipoenda kukagua au kufanya ziara za maendeleo hapa nchini. Gharama hizi zinatoka mfuko gani? Kwa umuhimu gani? Ili kumfurahisha nani? Je, Diamond naye anakwenda kukagua miradi?

Tunaomba majibu kutoka wizara husika.

View attachment 3062710
Acha wenge dozi Bado 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C-Ujl_ztIwS/?igsh=MTVwY3h2bDJwZDM4eQ==
 
Rais amewaambia,"Mkiwapigia kura Wapinzani,tusilaumiane baadaye kuhusu misaada kwenye majimbo yenu"
 
Kwamba rais Hana ujumbe Kwa wananchi wake?

Yaani unataka kuniambia rais anatembea tu bila kizungumza chochote?

Na shule ulienda?
Mdomo hana? Au mdomo wa milioni 300 ni muhimu kuliko madawati ya watoto? Hauna akili nadhani ndiyo maana unaulizia shule, maana hata bila elimu hili ni jambo dogo la kung'amua kwa akili za kawaida.Bila shaka wewe ni mmoja wa machawa wasio na akili
 
Nimeshangazwa sana kuona tangazo hili, Hii ni kampeni au utekelezaji wa majukumu ya kiongozi aliyepewa dhamana na wananchi? Sikumbuki kama Nyerere alishawahi kufanya haya pindi alipoenda kukagua au kufanya ziara za maendeleo hapa nchini. Gharama hizi zinatoka mfuko gani? Kwa umuhimu gani? Ili kumfurahisha nani? Je, Diamond naye anakwenda kukagua miradi?

Tunaomba majibu kutoka wizara husika.

View attachment 3062710
Hii ni show na ccm wanajuwa watanzania sahv wanapenda burdan, Acha mletewe burdan
Shida zote mnazi sahauuu
Subirini mcheze komasava tu

Ova
 
Mdomo hana? Au mdomo wa milioni 300 ni muhimu kuliko madawati ya watoto? Hauna akili nadhani ndiyo maana unaulizia shule, maana hata bila elimu hili ni jambo dogo la kung'amua kwa akili za kawaida.Bila shaka wewe ni mmoja wa machawa wasio na akili

Una veriest low thinking capacity.

Ulitaka rais aende na wewe ama?
 
Nimeshangazwa sana kuona tangazo hili, Hii ni kampeni au utekelezaji wa majukumu ya kiongozi aliyepewa dhamana na wananchi? Sikumbuki kama Nyerere alishawahi kufanya haya pindi alipoenda kukagua au kufanya ziara za maendeleo hapa nchini. Gharama hizi zinatoka mfuko gani? Kwa umuhimu gani? Ili kumfurahisha nani? Je, Diamond naye anakwenda kukagua miradi?

Tunaomba majibu kutoka wizara husika.

View attachment 3062710
Atapataje watu? Maana wanapenda Kwa hiari yao bila mabasi ya Abood na Fuso ni wachche
 
Back
Top Bottom