HahahahahahKatika onyo lake kuhusu watu wanaotoa takwimu zinazotofautiana na zile za idara ya takwimu ya taifa, rais amesema "... unakuta ngwini mmoja amebobea huko anatoa takwimu kwamba anajua kutengeneza takwimu .... Alikuwa ana maanisha nini?
Ha haa! Nimechekajee?
Ngwini ni lugha ya chuoni (hasa UDSM).
Ngwini ni mtu anayesomea masomo ya arts yale ya kukariri yasiyo na michoro wala hesabu!
Katika onyo lake kuhusu watu wanaotoa takwimu zinazotofautiana na zile za idara ya takwimu ya taifa, rais amesema "... unakuta ngwini mmoja amebobea huko anatoa takwimu kwamba anajua kutengeneza takwimu .... Alikuwa ana maanisha nini?
....Katika onyo lake kuhusu watu wanaotoa takwimu zinazotofautiana na zile za idara ya takwimu ya taifa, rais amesema "... unakuta ngwini mmoja amebobea huko anatoa takwimu kwamba anajua kutengeneza takwimu .... Alikuwa ana maanisha nini?
.Katika onyo lake kuhusu watu wanaotoa takwimu zinazotofautiana na zile za idara ya takwimu ya taifa, rais amesema "... unakuta ngwini mmoja amebobea huko anatoa takwimu kwamba anajua kutengeneza takwimu .... Alikuwa ana maanisha nini?
Neno ngwini ni terminology ya zamani UDSM ikimaanisha "Penguin" na hao ni watu waliosomea masomo ya arts. Penguin ni kampuni ya uchapishaji vitabu.Katika onyo lake kuhusu watu wanaotoa takwimu zinazotofautiana na zile za idara ya takwimu ya taifa, rais amesema "... unakuta ngwini mmoja amebobea huko anatoa takwimu kwamba anajua kutengeneza takwimu .... Alikuwa ana maanisha nini?
Wapo wenyew bora huyo kasoma uchumi ko mahesabu anayajuaNgwini =Zitto
From the world Penguin --- wale publishers maarufu wa vitabu duniani. Mara nyingi wao wakipublish manovo vovo meengi.Ha haa! Nimechekajee?
Ngwini ni lugha ya chuoni (hasa UDSM).
Ngwini ni mtu anayesomea masomo ya arts yale ya kukariri yasiyo na michoro wala hesabu!