MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 886
Anaweza maana ndiye aliemtuaWajuzi nisaidieni elimu, naomba kuuliza, Rais wa nchi ya Tanzania ana mamlaka ya kumfuta kazi Jaji Mkuu aliyemteua?
Mimi si wezi kupewa hata up Ola chai MagogoniRais ndo top wa mihimili yote anampa na kumyima amtakaye
blame no body
Ishu ni atakujua na kukuona VP kama unafaa?Mimi si wezi kupewa hata up Ola chai Magogoni
Kwahiyo kama shangazi yangu angekuwa catering pale ingekuwa rahisiIshu ni atakujua na kukuona VP kama unafaa?
blame no body
[emoji13] [emoji13]Kwahiyo kama shangazi yangu angekuwa catering pale ingekuwa rahisi
[emoji1] [emoji2] [emoji2]Kwahiyo kama shangazi yangu angekuwa catering pale ingekuwa rahisi
Hapana, kwa mujibu wa katiba Raisi anaweza kumteua jaji mkuu; lakini hana uwezo wa kumfukuza kazi jaji YEYOTE! Mfano mzuri ni wale majaji waliokuwa wanatuhumiwa kwa ufisadi escrow iliwabidi kujiuzulu wao wenyewe.Wajuzi nisaidieni elimu, naomba kuuliza, Rais wa nchi ya Tanzania ana mamlaka ya kumfuta kazi Jaji Mkuu aliyemteua?