gwamaka aswile
Senior Member
- Mar 26, 2015
- 186
- 106
kwa mara ya kwanza duniani, tanzania tumempata rais kichwa, jiniaz wa nguvu, rais anayejua hadi mimba zilizotungwa na watoto watakaozaliwa, anajua kuna mayai ya samaki mangapi, n.k hatutaki mtu hata kumbukumbu hana eti awe rais wetu.