Rais Asibague , Kama Aliruhusu Watu Waende Misri, Aturuhusu Na Sisi Tukawachape Viboko wachezaji siku Wanarudi.

Rais Asibague , Kama Aliruhusu Watu Waende Misri, Aturuhusu Na Sisi Tukawachape Viboko wachezaji siku Wanarudi.

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Raisi Wangu ni Msikivu Sana
Naomba uniruhusu mimi na Watanzania Wenzangu tukawatandike fimbo za kutosha kuanzia wachezaji na benchi nzima ya ufundi maana wamehujumu uchumi wetu kwa kuchezea rasilimali za Taifa bila faida.
Mheshimiwa Raisi Hawa tukiwaacha bila kuwachapa viboko watazoea kutuaibisha, wanatakiwa siku wanarudi tu kila mmoja apigwe viboko 14 ili wakae sawa kiakili maana wametutia aibu sana hawa watu.
 
Hapana. Taifa Stars ina matatizo mengi ya msingi, ambalo linahitaji mjadala wa kitaifa. Ila tabu ipo kwa wanasiasi kujichomeka kati.
 
INA maana wote walioenda unataka wachapwe viboko? kuna mtoto hapo aliyeenda juzi haiwezekani kuchapwa
 
Raisi Wangu ni Msikivu Sana
Naomba uniruhusu mimi na Watanzania Wenzangu tukawatandike fimbo za kutosha kuanzia wachezaji na benchi nzima ya ufundi maana wamehujumu uchumi wetu kwa kuchezea rasilimali za Taifa bila faida.
Mheshimiwa Raisi Hawa tukiwaacha bila kuwachapa viboko watazoea kutuaibisha, wanatakiwa siku wanarudi tu kila mmoja apigwe viboko 14 ili wakae sawa kiakili maana wametutia aibu sana hawa watu.
Wa hovyo sana wewe, tena huna adabu. Wachezaji wetu wamejituma sana, tena sana.

Ukitaka kufika safari yako, usipande merikebu moja na Yona. Wachezaji naomba tuwaache, kama una hasira dili na kimavi
 
Raisi Wangu ni Msikivu Sana
Naomba uniruhusu mimi na Watanzania Wenzangu tukawatandike fimbo za kutosha kuanzia wachezaji na benchi nzima ya ufundi maana wamehujumu uchumi wetu kwa kuchezea rasilimali za Taifa bila faida.
Mheshimiwa Raisi Hawa tukiwaacha bila kuwachapa viboko watazoea kutuaibisha, wanatakiwa siku wanarudi tu kila mmoja apigwe viboko 14 ili wakae sawa kiakili maana wametutia aibu sana hawa watu.
Hii ndio shida ya mpira kuvamiwa na wanasiasa.
 
Hapana. Taifa Stars ina matatizo mengi ya msingi, ambalo linahitaji mjadala wa kitaifa. Ila tabu ipo kwa wanasiasi kujichomeka kati.
Wanajichomeka kati kama mkuyenge🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom