Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
unapajua uingereza?Bora iwe kama Libya kuliko familia moja kutawala miaka 54
Waasi wakishika serekali, nae Assad ataunda kundi lake la waasi kujaribu kupindua serekali itakayokuwa madarakani!
Kuimba ni kupokezana 😂
Mrusi anawekwa busy makusudi, yuko too expanded kwa sasa hawez saidia washirika wake kimamilifuUS..sio mchezo piga vikwazo hakikisha Hana kitu,mrusi anavita anzisha mashambulizi
Kiuhalisia hili la waasi kufanikiwa kwa haraka haraka hapo Syria hata mimi limenishangaza sana, inaonekana dunia inakwenda kasi sana kwenye mambo mengi na kuna vitu vingi mnoo vinaendelea chini kwa chini hapa duniani na hatuvijui.
Libyia ilikuwa na mgawanyiko sabab waas walianza muua Ghadaf ikiwa bado jeshi la serikali lina nguv na target ya West ilikuwa kumuondoa Ghadaf tu hawakuwa na malengo zaid , ila Syria kila mtu anahitaj kupatawala so lzm hao waasi watabakia kupatawala nankusetle amani ili watu msianze kumkumbuka AssadHakuna Cha maana inakwenda kuwa kama Libya tu.kila mtu atataka kuongoza
unapajua uingereza?
Mrusi aliustukia mchezo kitambo akamuonya Assad juu ya Erdogan na mpango mzima wa NATO.Mrusi anawekwa busy makusudi, yuko too expanded kwa sasa hawez saidia washirika wake kimamilifu
Ugaidi ni suala la mtazamo tu.Lakini cha ajabu ambacho wengi twashangaa ni kwamba HTS ni magaidi kwamba ni generation ya ISIS.
Sasa iweje leo waaminike kufanya kazi waloifanya na je watakubali kuachia uongozi wa kiraia Syria?
Yeah walijipanga ata kwa zana zaoWalijiandaa muda mrefu na walikuwa na back up kunwa
Syria huenda ikawa kama Sudan, baada ya Omar Al Bashir kuondolewa madarakani, hadi leo ni mapigano, pia Libya au Iraq na mashaka sana huenda Syria itaelekea mkondo huo..!!
Mrusi aliustukia mchezo kitambo akamuonya Assad juu ya Erdogan na mpango mzima wa NATO.
Kinomuondoa Assad Syria ni msimamo wake wa kuendelea kuwasaida Iran na Hezbollah kupitisha silaha kwenye ule mji wa Qusayir.
Sasa hizi Hezbollah wameondoka hapo Qusayir na HTS wameingia hapo hilo ndo lengo la Israeli.
Lakini bado vita kali itapigwa kati ya magaidi na Israeli pamoja na Uturuki kugombea Damascus.
Yalishapangwa hayo tuko nyakati za mwisho kuelekea NWO, ila Wakristo wa Syria watamkumbuka sana Assad, leo hi I unamtoa Assad mnawaweka ISIS, il Israel iweze kuongeza Ardhi kusini mwa Syria😀Mwisho wake umefika, hana jinsi yoyote ya kumbakisha madarakani.
Ila hii oparesheni ya waasi imenishangaza sana, ndani ya muda mfupi wamechukua nchi!
Haki ya kuwa mornach wanayo uingereza tu.ila wengine hawatakiwi kuwa mornach?Uingereza ni Monarch tangu enzi, ila Libya sio Monarch
Rusia si mshirika wa kuaminika
Hapawezi kutuliaLibyia ilikuwa na mgawanyiko sabab waas walianza muua Ghadaf ikiwa bado jeshi la serikali lina nguv na target ya West ilikuwa kumuondoa Ghadaf tu hawakuwa na malengo zaid , ila Syria kila mtu anahitaj kupatawala so lzm hao waasi watabakia kupatawala nankusetle amani ili watu msianze kumkumbuka Assad
Mapigano ndani ya Damascus kwa sasa!!!
Rebel forces have declared Syria "free", saying the "tyrant" President Bashar al-Assad has left.
It is the end of a dark era and the beginning of a new one, HTS says on Telegram.
People who were displaced or were imprisoned by the Assad regime's half-century reign can now come home, the rebels say.
It will be a "new Syria" where "everyone lives in peace and justice prevails", HTS jamaaa nyie mnapenda kuwadanganya wenzenu iyo habari weka apa sasa mtu anakuja na Habari Fake anaandika tu CHANZO BBC je iyo Habari ipo kweli uko BBC pamoja tunajua BBC ni chombo cha propaganda lkn iyo Habari aipo uko kwao so tumuombe uyu mwamba atuwekee hiii Habari. ⁴