Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allah wenu huyo bwana anachekesha,Mayahud mtachomeka siku ya kiyamma
Allah tujalie bikra safi
Assad anakumbuka shuka kumeshakucha alikuwa na muda wa kulijali Jeshi lake hata wanaomsaidia wameanza kumchoka.Pamoja na kuongeza mshahara bado anakula kipondo.
HahahahaaMayahud mtachomeka siku ya kiyamma
Allah tujalie bikra safi
It comes after a source close to the Kremlin told Bloomberg News that Moscow had no plans to rescue the Syrian president, with Vladimir Putin said to be disgusted by reports of regime troops fleeing their positions.Baada ya jeshi la Waasi kuchukua mji wa Hama na kuteka Kambi ya kijeshi mjini humo.
Rais Bashar Al Assad ametangaza kuongeza mishahara ya jeshi lake kwa Asilimia 50% ili kuongeza morali.
Inasemekana jeshi la Syria limeshuka Sana kimorali.
Aongeze tuu maana jamaa wanazidi kusonga hapa wanachezea ndege za serikalBaada ya jeshi la Waasi kuchukua mji wa Hama na kuteka Kambi ya kijeshi mjini humo.
Rais Bashar Al Assad ametangaza kuongeza mishahara ya jeshi lake kwa Asilimia 50% ili kuongeza morali.
Inasemekana jeshi la Syria limeshuka Sana kimorali.
Ukisikia n'gombe hanenepi siku ya mnada ndio hii.Assad anakumbuka shuka kumeshakucha alikuwa na muda wa kulijali Jeshi lake hata wanaomsaidia wameanza kumchoka.