Rais Assad wa Syria aongeza mshahara wa wanajeshi kwa Asilimia Hamsini 50%

Rais Assad wa Syria aongeza mshahara wa wanajeshi kwa Asilimia Hamsini 50%

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Baada ya jeshi la Waasi kuchukua mji wa Hama na kuteka Kambi ya kijeshi mjini humo.

Rais Bashar Al Assad ametangaza kuongeza mishahara ya jeshi lake kwa Asilimia 50% ili kuongeza morali.

Inasemekana jeshi la Syria limeshuka Sana kimorali.
 
Pamoja na kuongeza mshahara bado anakula kipondo.
 
Baada ya jeshi la Waasi kuchukua mji wa Hama na kuteka Kambi ya kijeshi mjini humo.

Rais Bashar Al Assad ametangaza kuongeza mishahara ya jeshi lake kwa Asilimia 50% ili kuongeza morali.

Inasemekana jeshi la Syria limeshuka Sana kimorali.
It comes after a source close to the Kremlin told Bloomberg News that Moscow had no plans to rescue the Syrian president, with Vladimir Putin said to be disgusted by reports of regime troops fleeing their positions.

“Russia doesn’t have a plan to save Assad and doesn’t see one emerging as long as the Syrian president’s army continues to abandon its positions,” said the source
 
Baada ya jeshi la Waasi kuchukua mji wa Hama na kuteka Kambi ya kijeshi mjini humo.

Rais Bashar Al Assad ametangaza kuongeza mishahara ya jeshi lake kwa Asilimia 50% ili kuongeza morali.

Inasemekana jeshi la Syria limeshuka Sana kimorali.
Aongeze tuu maana jamaa wanazidi kusonga hapa wanachezea ndege za serikal
1733568868468.jpeg
 
Back
Top Bottom