Rais ateua mshauri wa Diplomasia

This is what we call kama kawa life of Kikwete.Kaamua kujidharirisha kwa kiasi kikubwa.Kashikiria sana udini na kaamua kuigawa nchi.Data za huyu mwanamama zitadondoshwa tu msihofu.We huoni baraza la mawaziri kaondoa vichwa adimu na kuvificha kwenye tuwizara ambato hatuna hata changamoto katupachikia majitu ya ajabu ajabu tu yanavurunda kazi .''KISA''Udini.Jirekebishe mzee uongozi wako unaboa wengi.
 
Pole ndugu jina lako kutopitishwa. Lakini bila shaka ulijua litapita jina moja tu na bahati mbaya halikuwa lako.

Kutaka sympathy kwa kigezo cha udini utawapata mabwege tu.

Siingii kwenye mtego wala mkenge wa kujibizana na majuha kama wewe!
 
In one of my earlier posts nimeomba mwenye CV yake fully anidondoshee hapa. Yaani ile VC ya Kitanzania ambayo ina most of data na si kama zile za Ki-international ambazo zinafuata format fulani ambazo hazichukua mambo yote.

Kwa hiyo msimao wako hadi sasa umeegemea katika ukweli kuwa huyu ni ZAHARA na sio JOHN? Halafu unajiona uko neutral? Huna tofauti na Game theory katika...wote ni wamoja....udini unawatweta hata kama wakati mwengine mnaongea ya kweli.

Angalia CV ya huyu mama itakapokuja usije aibika kaka. Na hii mitandao ni archive ambayo inatusaidia sana kujuana kwa undani...

Omarilyas
 

Kaka nawe huna tofauti na Maane.....Hawa wa kushoto manake nini? Unataka kuniambia kuwa hao wa kulia hawamo katika kundi la walioifisadi nchi hii? Yaani unataka kusema kuwa wenye majina ya Ally, Khamis, Fatma, Salmin ndio wanaweza kutuondoa katika mfumo fisadi huu ambao nao ni wadau wakuu wake?

Hivi hizi tamaa, kukosa uvumilivu, ubinafsi, prejudice zipo katika huo upande unaoita wa kushoto tu...

Kaka unakosea....u can do better than this

Omarilyas
 
Mh sijui unapima kwa vigezo gani hizo lawama. Tusubiri CV na si kubabaisha. Kama tunayoona mafisadi (Watanzania wachache) wanajirundikia mali basi hata madaraka tuwache na makundi mengine nayo yafuate.
 
Sina CV ya huyu mteuliwa, lakini ni mwanamama hodari na mtu mzima wa karibu miaka 60. Aliwahi kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Afya na Wizara ya zamani ya Maendeleo ya Jamii na Michezo iliyokuwa inaongozwa na Mhe. Fatma Said Ali, kabla ya kuteuliwa kwa uwezo na sifa zake, siyo za dini au jinsia, uwezo, kwenda Umoja wa Mataifa ambako nako alifanya kazi nzuri pia. Watanzania tumekwishavuka kumtazama mtu kwa dini au kabila yake, tunatazama uwezo. Isitoshe kusoma siyo dini au kabila, ni kupata nafasi tu! Waliobahatika kupata nafasi, ndiyo wanaoonekana wamesoma sana, siyo kwa sababu wana akili nyingi, bali wamepata nafasi!
Bwassa.
 
Nimeona mabishano ni makali kuhusu CV ya Ms Zahra Nuru. Nimejaribu kufanya data mining na kupata yafuatayo:

"Ms. Zahra Nuru, Director/Senior Advisor to the Undersecretary General and High Representative for the Least Developed Nations, Landlocked Developing Countries and Small Island Developing States and Special Advisor on Africa has an extensive resume dedicated to development that spans almost four decades, beginning with her two decades of work for the government of Tanzania in the Ministry of Health, and Ministry of Community Development, Culture, Youth and Sports.After these posts, Ms. Nuru spent fourteen years in the field with UN Development Program in Gambia, Malawi and Sierra Leone"

Employment Profile yake ni:




Nadhani mtaweza jua ni mtu wa aina gani
 

Sio hivyo tu ndugu, huyu mama alianza nafasi za chini kabisa katika utumishi serikalini baada ya kutoka MLIMANI. Alianzia wilayani huko Shinyanga na baadae akatumikia first Cabinet Sekretariat enzi hizo PINDA ndio bwana mdogo anatoka MLIMANI pia (offcourse tayari alikuwa na uzoefu wa kazi nyingine nyeti), kuondoka kwake kuenda UN ilikuwa ni kumnusuru kunoka kwa MAFISADI wa enzi zile (wakiwemo wakulu wa ufisadi wa enzi hizi pia) kutokana na ugunduzi na ufuatiliaji wa UFISADI mkubwa Wizara ya Afya ikiwemo WIZI mkubwa wa madawa ya serikali pamoja na mengine. Hali ilikuwa mbaya hadi Mwinyi akaona ni bora amkimbize ilipopatikana nafasi ya UNDP.

Kwa wanaodai kuwa JK analipa fadhila huyo ni mzandiki kwani huyu mama hakuwa MTANDAO na wala mahusiano ya karibu na JK hadi ilipokuwa katika masuala ya UN.

Uteuzi wa Daraja ulikuwa na malengo yake ikiwemo mahusiano ya Tanzania na Marekani ambayo yamefanikishwa na ziara ya JK kwa Obama, Naamini uteuzi wa mama huyu unamanisha JK ameamua kugeukia UN na Mataifa ya Kusini (dunia ya tatu).

Wazandiki wanaosema huyu mama hana shule waone haya. Mama ni mchumi wa Masters level.

Zaidi tuonapo waswalihina/walokole kama hawa wanaongezeka kumzunguka JK tushukuru Mungu jamani....

omarilyas
 


Haswa!!! GT ni ngugu yangu katika kupiga vita nepotism, ufisadi na maovu yote ya nchi hii. Una la zaidi?? Karibu.
 



Sure!!!!! Next!!!
 
Tanzania tumetawalia kwa muda mrefu katika mfumo kristo kwa hiyo yakioneka majina ya kiislaam kwenye nafasi za ungozi kuna wengine wanakereka hivi unafikiri kungekuwa na jina la Esta,Jyoce au Maria kuna Mtu angehoji?
 

Angalia CV ya huyu mama itakapokuja ... ambayo inatusaidia sana kujuana kwa undani...

Itakapokuja lini, ilibidi Ikulu watoe hiyo sasa hivi. Angalia ofisi za Rais wengine wanavyotoa details za mteule:

Tena hawa wateule stealth wanaotoka nje ndio ilibidi tujulishwe kwa mapana ni kina nani na walifanya nini huko. Angalia Ballali wa Mkapa wake walivyoleta msiba kwa Taifa. Just because one was working overseas does necessarily mean that he did a gread job huko. Tusitetemekee wanaotoka nje bila kuwajua...
 
mwacheni apate ulaji hapa bongo hakuna demokrasia, mtu (rais) anaweza kumteua mtu yeyote kwa maslahi yake. Issue hapa ni katiba ya nchi kubadilishwa, lakini cha kusikitisha ni kuwa chini ya CCM ni vigumu kubadirisha katiba ya TZ.
 
Tanzania tumetawalia kwa muda mrefu katika mfumo kristo kwa hiyo yakioneka majina ya kiislaam kwenye nafasi za ungozi kuna wengine wanakereka hivi unafikiri kungekuwa na jina la Esta,Jyoce au Maria kuna Mtu angehoji?

Huna hoja hapa, toa wazo lingine
 
CV ya nini ili iweje?

mbona wengine hamjaulizia CV zao?


While I understand your sense of fairness, two wrongs simply do not make a right.

Kama hatujauliza CV za wengine, ni bora kuuliza CVs za hao wengine (you must mean resumes, ?) kuliko kumkingia kifua huyu mmoja.

We must always maintain an impeccable and convincing sense of equanimity as the chosen ambassadors of the paradigm shift of thought in Tanzanian circles.This apologist outlook hardly demonstrate that.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Give me a glass of pure and safe water. I will use tha elecricity to boil the water to kill the germs of nepotism. Nitadandia kwa mbele na sitapata shot ya umeme.
nimeipendaa hiyooo style ya kudandia kwa mbele na bila kupata shotii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…