Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,120
- 3,468
Katika katiba mpya wagombea urais, wabunge ambao kabla ya kuchukua fomu kwa nia hiyo kama watakuwa na uraia wa nchi mbili wasiruhusiwe kugombea urais wala ubunge. Hii itatokana na ukweli wa haya yanayotokea leo.
1. Wizi wa raslimali za nchi umekithiri sana na wezi wakubwa ni hawa hawa viongozi wetu.
2. Uzoefu umeonyesha kwamba hawa viongozi wetu mara tu wakiapishwa akili zao ni kusafiri nafahamu safari ni muhimu kwa viongozi lakini nchi bila rais miaka 3!
1. Wizi wa raslimali za nchi umekithiri sana na wezi wakubwa ni hawa hawa viongozi wetu.
2. Uzoefu umeonyesha kwamba hawa viongozi wetu mara tu wakiapishwa akili zao ni kusafiri nafahamu safari ni muhimu kwa viongozi lakini nchi bila rais miaka 3!