Rais Biden wa Marekani adondoka akiendesha baiskeli, anamuiga Rais Putin

Rais Biden wa Marekani adondoka akiendesha baiskeli, anamuiga Rais Putin

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Huyu ni Biden alidondoka akiwa anaendesha baiskeli

images (4).jpeg

Huyu ni jemedari Putin akiendesha farasi

images (5).jpeg
 
Mtu ana miaka 78 na kachoka hivi amataka kuendesha baiskeli? mambo mengine kujitakia, huyu term ijayo hatoboi watamshauri apumzike maana anapoteza kumbukumbu hata ya kuendesha baiskeli 😅 😅 😅 😅 😅
 
Wakati huo mwenzake anapeta juu ya farasi kwa Kasi ya kimbunga jobo
 
Mambo mengine ukiyashangaa utaonekana mjinga tu.Unashangaa kitoto cha wiki moja kujikojolea?
 
Mtu ana miaka 78 na kachoka hivi amataka kuendesha baiskeli? mambo mengine kujitakia, huyu term ijayo hatoboi watamshauri apumzike maana anapoteza kumbukumbu hata ya kuendesha baiskeli 😅 😅 😅 😅 😅
Marekani na Kenya soon zitaongozwa na wamama.
 
Back
Top Bottom