Ishara inajionyesha tambua mwenyewe hapo
Haya mkuu kiroho safiHayo ya kila Simba SC akifanya jambo kwenu kuona kero.. Tafsiri yake ni kilio kwahivyo tuache tufanye yetu. This is Simba SC brother
Yanga kombe tulishamilikishwa sawa mzee.Shabiki wa Yanga kukabidhi kombe kwa mahasimu wao. Atatuma mwakilishi
Thubutuu.. Kwa mpira gani wa kuingia robo Caf, Level hiyo ni Simba SC walifika fainali Kombe la CAF, Vyura mtaishia kutinga makundi na kesho Rayon Sports wanawajambisha puuuuuuh[emoji196] [emoji196]Ni umburulaz na ulimbikeni kipofu kuona mwezi yaan kulikosa miaka mitano ni kama kupata kombe la dunia hivi yanga wakiingia hata robo caf waende ikulu sio
Hao Ndio Mchepuko fc wala wasikuumize kichwa mkuu...Huu ubingwa umewatia uchizi mikia wote hadi kina Karia na Kidau! Kweli mgumba amezaa
Kweli mkuu wamekuwa machizi wa mitaani wangechukua miaka mitatu tungewakuta mirembe,,,Hili kombe mwaka huu limewatia uchizi hawa jamaa
Hakika. Kumbe TFF ulikuwa mpango wao.Hili kombe mwaka huu limewatia uchizi hawa jamaa
Kombe original liko n'a Yanga, ili watakalopewa Simba ni Feki à. K. A photocopyMbona kilio sana Vyura FC? Kwani mlivyokuwa nalo hamkujua ipo siku watachukua wengine?