Rais Dkt. Magufuli, Waziri Mwakyembe na Mkuu wa Mkoa Makonda zuieni hii ‘ Harambee ‘ Kubwa lao ya Yanga FC kwani ‘ itatakatisha ‘ Fedha

Rais Dkt. Magufuli, Waziri Mwakyembe na Mkuu wa Mkoa Makonda zuieni hii ‘ Harambee ‘ Kubwa lao ya Yanga FC kwani ‘ itatakatisha ‘ Fedha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Klabu ya Yanga inategemea Kufanya ‘ Harambee ‘ yake waliyoipa jina na ‘ Kubwa Lao ‘ ikiwa ni njia ya Kujipatia Fedha nyingi za Kufanyia Usajili na Kuendesha Shughuli zote za Klabu ili mradi tu na Wao Yanga wawaige Simba SC japo ‘ Kiuhalisia ‘ uwezo huo hawana.

Viongozi wote niliowataja hapo juu msikubali ‘ Harambee ‘ hii ifanyike kwani huko kutakuwa na ‘ Utakatishaji Pesa ‘ mkubwa mno halafu kutatoa ‘ mwanya ‘ pia kwa ‘ Wauza ‘ Unga wakubwa wan chi hii Kujipenyeza huko kisha wakaharibu huu Mpira wetu ambao tayari sasa Klabu ya Simba inaung’arisha.

Wakatazeni / Wazuieni upesi tafadhalini. Na kama Yanga wanataka Kujipatia Pesa za Kihalali basi walazimisheni ' wawaige ' Simba SC kwa Kuwa na Muwekezaji Mmoja tu na ambaye anajulikana na anatambulika vyema kama ilivyo kwa Mohammed Dewji ila mkiruhusu tu hiyo ' Kubwa Lao Harambee ' ya Yanga Mwezi ujao pale Diamond Jubilee kuna ' Uhuni ' mkubwa utafanyika na Soka la Tanzania litachafuliwa.

Wametenga Viti 1000 vya Watu kuchangia Tsh 50,000/ pia wameweka Viti 100 vya Watu kuchangia Tsh 1,000,000/ na wameweka tena Viti 50 vya Watu kuchangia Tsh 10,000,000/. Kwa Jicho la Tatu la ' Kiuchunguzi ' na kwa hali mbaya ya Uchumi iliyopo nchini Tanzania kwa sasa hapa kunatengenezwa ' Utakatishaji ' Pesa na Watu wajanja wajanja hasa ( Wauza Unga ) na wenye Maslahi mabaya Kiuchumi na Tanzania yetu ' Kujipenyeza ' huko kisha wakaishia Kuharibu mpira wa Tanzania.

Na nawaomba pia hata akina TAKUKURU hadi Watu wa TRA nao pia wasikae mbali na hiyo ' Kubwa Lao Harambee ' yao.

Nawasilisha.
 
Klabu ya Yanga inategemea Kufanya ‘ Harambee ‘ yake waliyoipa jina na ‘ Kubwa Lao ‘ ikiwa ni njia ya Kujipatia Fedha nyingi za Kufanyia Usajili na Kuendesha Shughuli zote za Klabu ili mradi tu na Wao Yanga wawaige Simba SC japo ‘ Kiuhalisia ‘ uwezo huo hawana.

Viongozi wote niliowataja hapo juu msikubali ‘ Harambee ‘ hii ifanyike kwani huko kutakuwa na ‘ Utakatishaji Pesa ‘ mkubwa mno halafu kutatoa ‘ mwanya ‘ pia kwa ‘ Wauza ‘ Unga wakubwa wan chi hii Kujipenyeza huko kisha wakaharibu huu Mpira wetu ambao tayari sasa Klabu ya Simba inaung’arisha.

Wakatazeni / Wazuieni upesi tafadhalini. Na kama Yanga wanataka Kujipatia Pesa za Kihalali basi walazimisheni ' wawaige ' Simba SC kwa Kuwa na Muwekezaji Mmoja tu na ambaye anajulikana na anatambulika vyema kama ilivyo kwa Mohammed Dewji ila mkiruhusu tu hiyo ' Kubwa Lao Harambee ' ya Yanga Mwezi ujao pale Diamond Jubilee kuna ' Uhuni ' mkubwa utafanyika na Soka la Tanzania litachafuliwa.

Wametenga Viti 1000 vya Watu kuchangia Tsh 50,000/ pia wameweka Viti 100 vya Watu kuchangia Tsh 1,000,000/ na wameweka tena Viti 50 vya Watu kuchangia Tsh 10,000,000/. Kwa Jicho la Tatu la ' Kiuchunguzi ' na kwa hali mbaya ya Uchumi iliyopo nchini Tanzania kwa sasa hapa kunatengenezwa ' Utakatishaji ' Pesa na Watu wajanja wajanja hasa ( Wauza Unga ) na wenye Maslahi mabaya Kiuchumi na Tanzania yetu ' Kujipenyeza ' huko kisha wakaishia Kuharibu mpira wa Tanzania.

Na nawaomba pia hata akina TAKUKURU hadi Watu wa TRA nao pia wasikae mbali na hiyo ' Kubwa Lao Harambee ' yao.

Nawasilisha.
Huna tofauti na Makonda....
 
I did not expect such awful suggestion from such person wasipokuwa na hela mnawacheka wanataka kuijkwamua ,kelele na huyo Dewji wenu anatakatisha fedha amefanya uwekezaji wapi?
 
Lengo lako kuwaogopesha watu wenye Pesa zao wasiende kuchangia Timu ya Wananchi

Hapana Mkuu najaribu tu kuwa Mzalendo kwa nchi yangu ndiyo maana nimewatahadharisha hao Wakuu tajwa hapo. Halafu usisahau kwamba Mimi GENTAMYCINE ni Yanga Mwenzio Mkuu.
 
Hiyo si 650m tu . Kaulize 1.5T zimeenda wapi utakuwa jasiri. . Hii timu ya Yanga ya msimu huu bila ya kuwa na njaa walikuwa wanachukua Ubingwa. . Msimu ujao banachimbika mtalokotea kunyavu

Nadhani hapa Jamvini ni Wewe tu pekee usiyejua kuwa GENTAMYCINE ni mwana Yanga kabisa.
 
I did not expect such awful suggestion from such person wasipokuwa na hela mnawacheka wanataka kuijkwamua ,kelele na huyo Dewji wenu anatakatisha fedha amefanya uwekezaji wapi?

Unaposema huyo Dewji Wenu wakati unajua na inajulikana kabisa kuwa GENTAMYCINE ni mwana Yanga nakuwa sikuelewi Mkuu.
 
Mtahadharisheni huyo mwenzenu huko mliko yeye amechukua timu 100% hakuna 49% vs 51% na bado mmekaa kimya tu
 
Mtahadharisheni huyo mwenzenu huko mliko yeye amechukua timu 100% hakuna 49% vs 51% na bado mmekaa kimya tu

Bila shaka wana Simba wamekusikia Mkuu kwani Mimi na Wewe sote ni wana Yanga kabisa na hiyo Siku ya ' Kubwa Lao Harambee ' tutachangia ili Kuinusuru na Kuijenga Timu yetu ya Yanga ambayo kwa Msimu wa pili huu Mfululizo imechukua Ubingwa wa Kutoshiriki Michuano yoyote ya Kimataifa.
 
Wewe huitakii mema Yanga yetu kama ambavyo Mimi GENTAMYCINE na mwana Yanga ninavyoipagania hapa na Kuiokoa?
Yanga iko vizuri...Wacha mikakati yetu isonge mbele..

Simba mbona mnavamia mambo yasiyowahusu..

Mi nadhani ungeandika andiko kuhusu namna ya kuwasaidia wanaume wa Kinondoni na Tatizo la nguvu za kiume

Kabla hatujalichukulia tatizo hilo, kama fursa na kuwa mawakala wa Vumbi la Congo ktk maeneo yote ya kinondoni[emoji16][emoji16]

Yanga Daima mbele Nyuma Mwiko.
 
Hivi unajua ya kwamba unayemtukana hivi GENTAMYCINE ni mwana Yanga Mwenzio tena Yule Kindakindaki? Niombe radhi!
Kaka unafahamika kwamba wew ni Simba kindaki ndaki sasa unapokuja na Mada Kama hizi tunajua Ni chuki binafsi
 
Back
Top Bottom