GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Klabu ya Yanga inategemea Kufanya ‘ Harambee ‘ yake waliyoipa jina na ‘ Kubwa Lao ‘ ikiwa ni njia ya Kujipatia Fedha nyingi za Kufanyia Usajili na Kuendesha Shughuli zote za Klabu ili mradi tu na Wao Yanga wawaige Simba SC japo ‘ Kiuhalisia ‘ uwezo huo hawana.
Viongozi wote niliowataja hapo juu msikubali ‘ Harambee ‘ hii ifanyike kwani huko kutakuwa na ‘ Utakatishaji Pesa ‘ mkubwa mno halafu kutatoa ‘ mwanya ‘ pia kwa ‘ Wauza ‘ Unga wakubwa wan chi hii Kujipenyeza huko kisha wakaharibu huu Mpira wetu ambao tayari sasa Klabu ya Simba inaung’arisha.
Wakatazeni / Wazuieni upesi tafadhalini. Na kama Yanga wanataka Kujipatia Pesa za Kihalali basi walazimisheni ' wawaige ' Simba SC kwa Kuwa na Muwekezaji Mmoja tu na ambaye anajulikana na anatambulika vyema kama ilivyo kwa Mohammed Dewji ila mkiruhusu tu hiyo ' Kubwa Lao Harambee ' ya Yanga Mwezi ujao pale Diamond Jubilee kuna ' Uhuni ' mkubwa utafanyika na Soka la Tanzania litachafuliwa.
Wametenga Viti 1000 vya Watu kuchangia Tsh 50,000/ pia wameweka Viti 100 vya Watu kuchangia Tsh 1,000,000/ na wameweka tena Viti 50 vya Watu kuchangia Tsh 10,000,000/. Kwa Jicho la Tatu la ' Kiuchunguzi ' na kwa hali mbaya ya Uchumi iliyopo nchini Tanzania kwa sasa hapa kunatengenezwa ' Utakatishaji ' Pesa na Watu wajanja wajanja hasa ( Wauza Unga ) na wenye Maslahi mabaya Kiuchumi na Tanzania yetu ' Kujipenyeza ' huko kisha wakaishia Kuharibu mpira wa Tanzania.
Na nawaomba pia hata akina TAKUKURU hadi Watu wa TRA nao pia wasikae mbali na hiyo ' Kubwa Lao Harambee ' yao.
Nawasilisha.
Viongozi wote niliowataja hapo juu msikubali ‘ Harambee ‘ hii ifanyike kwani huko kutakuwa na ‘ Utakatishaji Pesa ‘ mkubwa mno halafu kutatoa ‘ mwanya ‘ pia kwa ‘ Wauza ‘ Unga wakubwa wan chi hii Kujipenyeza huko kisha wakaharibu huu Mpira wetu ambao tayari sasa Klabu ya Simba inaung’arisha.
Wakatazeni / Wazuieni upesi tafadhalini. Na kama Yanga wanataka Kujipatia Pesa za Kihalali basi walazimisheni ' wawaige ' Simba SC kwa Kuwa na Muwekezaji Mmoja tu na ambaye anajulikana na anatambulika vyema kama ilivyo kwa Mohammed Dewji ila mkiruhusu tu hiyo ' Kubwa Lao Harambee ' ya Yanga Mwezi ujao pale Diamond Jubilee kuna ' Uhuni ' mkubwa utafanyika na Soka la Tanzania litachafuliwa.
Wametenga Viti 1000 vya Watu kuchangia Tsh 50,000/ pia wameweka Viti 100 vya Watu kuchangia Tsh 1,000,000/ na wameweka tena Viti 50 vya Watu kuchangia Tsh 10,000,000/. Kwa Jicho la Tatu la ' Kiuchunguzi ' na kwa hali mbaya ya Uchumi iliyopo nchini Tanzania kwa sasa hapa kunatengenezwa ' Utakatishaji ' Pesa na Watu wajanja wajanja hasa ( Wauza Unga ) na wenye Maslahi mabaya Kiuchumi na Tanzania yetu ' Kujipenyeza ' huko kisha wakaishia Kuharibu mpira wa Tanzania.
Na nawaomba pia hata akina TAKUKURU hadi Watu wa TRA nao pia wasikae mbali na hiyo ' Kubwa Lao Harambee ' yao.
Nawasilisha.