Pre GE2025 Rais Dkt. Mwinyi asema Fitina zilikuwa zimeshaanza kuingia wagombea urais CCM, Mkutano mkuu ulimaliza kazi yake akisisitiza vyama vingine hayawahusu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
"Tumekuja mbele yenu kutoa shukrani kwa wajumbe wa mkutano mkuu kwa uamuzi ule ambao ulikuwa ni wa busara sana, sasa wapo wa vyama vingine ambao kwakweli wao hayawahusu wanaingilia utaratibu wa chama cha mapinduzi, tunasema haya hayawahusu wanaCCM waliamua kwa makusudi na walikuwa na sababu za kuamua baada ya kuona utekelezaji katika pande zote mbili za jamhuri ya muungano wa tangania"

"Leo tuko hapa tunazungumza kifua mbele kwa sababu tumetekeleza yale yote yaliyomo ndani ya ilani yetu ya CCM na watekelezaji ni kwa ngazi zote"

Dkt Mwinyi ameyasema hayo wakati wa hafla ya Mapokezi ya mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Kiwani, Kusini Pemba

Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Your browser is not able to display this video.
 
Lakini kuna wana CCM wanalalamika, na wao hayawahusu pia?
 
Bingo!!!!!!!!!!!11
 
Mwinyi aambiwe ukweli wanaolalamika ni wana ccm wenzake wala sio vyama vingine
 
Ila wamepitishwa kibabe 😄

Watu wanaugulia moyoni tu

Ova
 
Ccm ni chama cha wachache, wanaccm wengi wanaburuzwa na kazi yao ni uchawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…