Rais Dkt. Samia aweka rekodi ya mapokezi ya wananchi mkoa wa Lindi

Rais Dkt. Samia aweka rekodi ya mapokezi ya wananchi mkoa wa Lindi

msuyaeric

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
842
Reaction score
1,197
Wakazi na Wananchi wa Mkoa wa Lindi wamejitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi kwa ajili ya kumpokea Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye amewasili mkoani humo kwa ajili ya kushiriki siku ya Ukimwi Duniani.

Kwa mujibu wa Wananchi wa Lindi waliokua wamevaa sare maalum za Mama Karibu Kusini, wamesema ujio wa sasa wa Rais Dkt. Samia umeweka rekodi ya mapokezi ya Kiongozi Mkuu wa nchi katika Mko wa Lindi tangu Tanzania ipate uhuru.

20221201_114023.jpg
IMG-20221201-WA0378.jpg
IMG-20221201-WA0376.jpg
IMG-20221201-WA0380.jpg
IMG-20221201-WA0359.jpg
 
Ni mda sasa wakuwakumbuka kusini siku zote wamekuwa watiifu sana Kwa chama na Serikali Barabara zao bado za kizamani, bandari zao ziboreshwe,mifumo ya elimu Kwa ujumla iwe mizuri,mazao Yao yawanufaishe kama korosho na Ufuta Serikali muwakumbuke
 
Kwahiyo wananchi kwa mapenzi kwa rais wao... Wamenunua matshet na kuprint kwa gharama zao...

This is serious eti
 
Wakazi na Wananchi wa Mkoa wa Lindi wamejitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi kwa ajili ya kumpokea Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye amewasili mkoani humo kwa ajili ya kushiriki siku ya Ukimwi Duniani.

Kwa mujibu wa Wananchi wa Lindi waliokua wamevaa sare maalum za Mama Karibu Kusini, wamesema ujio wa sasa wa Rais Dkt. Samia umeweka rekodi ya mapokezi ya Kiongozi Mkuu wa nchi katika Mko wa Lindi tangu Tanzania ipate uhuru.

View attachment 2432426View attachment 2432427View attachment 2432428View attachment 2432429View attachment 2432430
Leo shule zimehairishwa hongereni
 
Mwandishi anayeandika mabango yupo mmoja Tu hapo CCM maana mwandiko wake umetumika morogoro,Arusha,mbeya na sasa Lindi..... CCM ni mafala Sana mnashindwa kumpa dili la kuandika mabango MTU mwingine?
 
Hyo rekodi haiwezi kufikia rekodi anayoiweka kwa kusafiri safiri kila leo
 
Wazee kutoka mkoa wa Lindi wamejumuika pamoja kumkaribisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkoa wa Lindi na kumwahidi watakuwa pamoja naye na kumpa ushirikiano wa kutosha katika ujenzi wa taifa.

"Kwa mila na tamaduni zetu mkoa wa Lindi, wazazi tunatakiwa kumfanyia maombi mtoto ambaye hajafika nyumbani kwa muda mrefu, hivyo sisi wazee tumeamua kumfanyia maombi maalum Chifu Hangaya Mama na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aendelee kutukumbuka wazee wa Lindi," alisema kiongozi wa wazee.

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anategemea kuwa mgeni rasmi siku ya UKIMWI Duniani, ambapo hafla zake zitafanyika mkoa wa Lindi viwanja vya Ilulu tarehe 1/12/2022.
IMG-20221201-WA0492.jpg
 
Chief hangaya...anaupiga mwingi sana...hadi wazee walindi wanafanya maombi maalumu.



#MaendeleoHayanaChama
 
Wakazi na Wananchi wa Mkoa wa Lindi wamejitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi kwa ajili ya kumpokea Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye amewasili mkoani humo kwa ajili ya kushiriki siku ya Ukimwi Duniani.

Kwa mujibu wa Wananchi wa Lindi waliokua wamevaa sare maalum za Mama Karibu Kusini, wamesema ujio wa sasa wa Rais Dkt. Samia umeweka rekodi ya mapokezi ya Kiongozi Mkuu wa nchi katika Mko wa Lindi tangu Tanzania ipate uhuru.

View attachment 2432426View attachment 2432427View attachment 2432428View attachment 2432429View attachment 2432430
rubbish propaganda
 
Back
Top Bottom