Rais endelea kuwapa stress Wabaya wako; ukimya wako umetufanya tutambue wanaokuzunguka wanakuwazia nini. Ishi nao kwa akili

Rais endelea kuwapa stress Wabaya wako; ukimya wako umetufanya tutambue wanaokuzunguka wanakuwazia nini. Ishi nao kwa akili

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Ukimya wa Mhe. Rais kisiasa umesaidia sana kufahamu ana maadui wangapi na marafiki wangapi. Ukimya wake umesaidia sana kuona comments za mitandaoni zinavyoweza kutafsiri jamii unayoiongozia.

Ukimya wake umewafanya viongozi wenzake waandike kila mtu kwa mtizamo wake kwenye makundi ya WhatsApp na wengine kujadili afya yake kwenye vijiwe.

Urais ni taasisi, naamini wasaidizi wake watatumia kipindi hiki kuchuja wale wanaoshangilia na kushauri wakae pembeni. Lakini pia ni muda sahihi wakuona wapi wasaidizi wake wanamchonganisha na jamii na wapi wanatangaza vyema kazi zake.

Tunatarajia kishindo kikubwa kupambana na wachumba tumbo wanaojifanya wema kumbe wanashiriki kuhujumu juhudi zako. Watazame kwa jicho lakuwakemea na kuwaonya. Walete mtaani waondoke kwenye ofisi za umma kama wameshindwa kusimama na wewe kwenye shida na raha. Unafiki mwisho
 
Atakuona wewe unayemtakia mema. Weka namba ya simu
 
Ngoja chawa waje waseme ,Mama Abdul ppt ulipo uendelee kuwa salama na kama Kuna shidaa bac amini itapita na utarudi kujaa kuendelea kuwakata wapinzani Kwenye chaguzi za serikali za mitaa..
 
The chief of protocal dr steven mengele a.k.a stevene Nyerere has said the prezidoo is anachapa kazi at kizimkazi residence so,stop dreaming that is sick.
 
Ukimya wa Mhe. Rais kisiasa umesaidia sana kufahamu ana maadui wangapi na marafiki wangapi. Ukimya wake umesaidia sana kuona comments za mitandaoni zinavyoweza kutafsiri jamii unayoiongozia.

Ukimya wake umewafanya viongozi wenzake waandike kila mtu kwa mtizamo wake kwenye makundi ya WhatsApp na wengine kujadili afya yake kwenye vijiwe.

Urais ni taasisi, naamini wasaidizi wake watatumia kipindi hiki kuchuja wale wanaoshangilia na kushauri wakae pembeni. Lakini pia ni muda sahihi wakuona wapi wasaidizi wake wanamchonganisha na jamii na wapi wanatangaza vyema kazi zake.

Tunatarajia kishindo kikubwa kupambana na wachumba tumbo wanaojifanya wema kumbe wanashiriki kuhujumu juhudi zako. Watazame kwa jicho lakuwakemea na kuwaonya. Walete mtaani waondoke kwenye ofisi za umma kama wameshindwa kusimama na wewe kwenye shida na raha. Unafiki mwisho
Acha kumchonganisha Rais na wasaidizi wake.
 
Back
Top Bottom