Bila shaka ameingilia kati kama mzazikwani mahakama hakuna ktk nchi hiyo mpaka raisi aamuru kijana wake afungwe? usikute huyo kijana ni mtoto wake wa kufikia au anatilia shaka kuna jamaa alichangia ujio wake hapa duniani. Huo sio uzarendo ni dehumanization. he needed to go to the class of congenital deformity!