Tetesi: Rais Hassan wa Iran aambuzikwa Coronavirus

Tetesi: Rais Hassan wa Iran aambuzikwa Coronavirus

Visacard

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2017
Posts
233
Reaction score
218
#BREAKING| Reports: #Iranian President Hassan #Rouhani has been infected with deadly #coronavirus.
FB_IMG_15828890948818624.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa lazima watu waseme mabeberu ya USA yamefanya yao, ngoja tusubiri tutaona na kusikia mengi MUNGU asipotuvuna mapema.
 
Hapa lazima watu waseme mabeberu ya USA yamefanya yao, ngoja tusubiri tutaona na kusikia mengi MUNGU asipotuvuna mapema.
Wamarekani ukiwapiga kwa makombola wao wanakupiga kwa njia nyingine.
 
Ingekuwa ni wa hapa kwetu komenti zisingekuwa "usinywe viroba"
 
Hapa lazima watu waseme mabeberu ya USA yamefanya yao, ngoja tusubiri tutaona na kusikia mengi MUNGU asipotuvuna mapema.
Mtu mwenye akili timamu unaitofautishaje Marekani na Corona
 
Ni tetesi Kama ilivyo tetesi kuwa Pope nae kapata maambukizo,,,tofauti Ni kuwa Pope alionekana hadharani akipiga chafya na kupenga na Leo Ni siku ya tatu bado anaumwa
 
Moderator huwa wapo faster sana kwenye kufuta na kuunganisha nyuzi zangu ila uzushi kama huu ni unaachwa tu!
 
Back
Top Bottom