Hii taarifa naomva ipuuzwe haina ukweli wowote
Wamarekani ukiwapiga kwa makombola wao wanakupiga kwa njia nyingine.Hapa lazima watu waseme mabeberu ya USA yamefanya yao, ngoja tusubiri tutaona na kusikia mengi MUNGU asipotuvuna mapema.
Mtu mwenye akili timamu unaitofautishaje Marekani na CoronaHapa lazima watu waseme mabeberu ya USA yamefanya yao, ngoja tusubiri tutaona na kusikia mengi MUNGU asipotuvuna mapema.
Hata wao ugonjwa umwaathiri,juzi stock exchange imefuta dola trillion 5,makampuni yanahaha,Wamarekani ukiwapiga kwa makombola wao wanakupiga kwa njia nyingine.
Mkuu nawewe umechangia ?!.....Wamarekani ukiwapiga kwa makombola wao wanakupiga kwa njia nyingine.
Mkuu potezea ili uzi uchanganye na kuchangamja. Nishawashtua akina kimsboy yatakurupuka mda siyo mrefu na gemu kuanza rasmiModerator huwa wapo faster sana kwenye kufuta na kuunganisha nyuzi zangu ila uzushi kama huu ni unaachwa tu!
Dah kumbe ulishatinga kwenye uzi. Safi sana