Pre GE2025 Rais huwa hatuanzishi ugomvi katikati ya daraja, ungesubiri tuvuke kwanza!

Pre GE2025 Rais huwa hatuanzishi ugomvi katikati ya daraja, ungesubiri tuvuke kwanza!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kama utapata muda wa kupitia bandiko hili toa miwani yako ili usome kwa kutumia macho yako.

Nimeona kuna watu wameanza kutupwa mtoni potelea mbali kama mbwai iwe mbwai. Kibaya zaidi naona ugomvi unazuka tukiwa katikati ya daraja dakika chache kabla ya kuvuka mto.

Umewahi kujiuliza mh spika mstaafu anawaza nini ? Lakini umewahi kupata muda wa kufikiria kwamba mzee wa Kilosa Magamba Kibudenga anachofikiria? Au yule waziri wa zamani wa ardhi uliyemfurusha kwamba amezeeka kuliko Mkuchika ndugu Williamsoni Makuvi anachowaza unakijua?

Mzee Makamba kamba na huyu msomali unajua wanawaza nini?

Mambo yatabadilika ghafla hautaamini kabisa! Kwani wanaokushauri kwamba kila kosa ni kosa ni akina nani?

Unamfahamu Mpina? Muulize Kikwete na Hayati Magufuli 2015 mambo yalipogeuka alikuwa anapumulia mashine, siasa za nchi usije kuzipuuza kwa kuangalia ukimya wa watu ukajua tayari umeshinda

Nikutakie kazi njema Mimi naendelea na kazi yangu ya uganga !
 
Kwamba wewe ndo unauelewa mpana wa mambo ya nchi na chama kumliko rais? Vipi wasaidizi wake nao unawazidi?
 
Wacha ninywe tekawima maisha ni haya haya mnanpangia mshahara ila siyo matumizi.
 
Dah! mambo mengine bwana yaani unataka Raisi aanze kuwaza kwamba hao anao watengua wanawaza nini? kwani wanaoteuliwa sio watanzania? au hao wazee wako waliandikiwa kuwa watafia madarakani? mbona akina Mwandosya wametumika nao waliotenguliwa walitulia kimya na maisha yao yanasonga, hao akina palamagamba kwamba wana umuhimu kuliko wengine?
 
Dah! mambo mengine bwana yaani unataka Raisi aanze kuwaza kwamba hao anao watengua wanawaza nini? kwani wanaoteuliwa sio watanzania? au hao wazee wako waliandikiwa kuwa watafia madarakani? mbona akina Mwandosya wametumika nao waliotenguliwa walitulia kimya na maisha yao yanasonga, hao akina palamagamba kwamba wana umuhimu kuliko wengine?
Kuna wakati karata ya joker humpa mtu ushindi
 
Mkuu ukiona pande mbili zinazokinzana zinakubaliana katika jambo moja, basi tambua kuna aina fulani ya ukweli upo katika hoja hiyo.

Ukiona waganga maarufu wa kienyeji kama vile Sheikh Yahya, na manabii kadhaa wa Kikristo wakitoa nabii kuhusu matokeo ya uchaguzi wa 2025 hasa katika kinyang'anyiro cha nafasi ya urais, basi kidogo inafikirisha.

Wengine tabiri zao walipatia kuhusu ujio wa Rais mwanamke, na pia kuzungumzia kuwa ndiye ambaye atakuwa ni wa mwisho kwa CCM. Wengine wametabiri tafrani ambayo itaikuta CCM na hatimaye upinzani kutwaa dola

Hizi zote ni tabiri, lakini hazipaswi kupuuziwa. Ebu tusubiri tuone kama mantiki itakuwa,

If "a" implies "b"
and if "b" implies "c"
then, "c" will imply "a"
 
Kama utapata muda wa kupitia bandiko hili toa miwani yako ili usome kwa kutumia macho yako.

Nimeona kuna watu wameanza kutupwa mtoni potelea mbali kama mbwai iwe mbwai. Kibaya zaidi naona ugomvi unazuka tukiwa katikati ya daraja dakika chache kabla ya kuvuka mto.

Umewahi kujiuliza mh spika mstaafu anawaza nini ? Lakini umewahi kupata muda wa kufikiria kwamba mzee wa Kilosa Magamba Kibudenga anachofikiria? Au yule waziri wa zamani wa ardhi uliyemfurusha kwamba amezeeka kuliko Mkuchika ndugu Williamsoni Makuvi anachowaza unakijua?

Mzee Makamba kamba na huyu msomali unajua wanawaza nini?

Mambo yatabadilika ghafla hautaamini kabisa! Kwani wanaokushauri kwamba kila kosa ni kosa ni akina nani?

Unamfahamu Mpina? Muulize Kikwete na Hayati Magufuli 2015 mambo yalipogeuka alikuwa anapumulia mashine, siasa za nchi usije kuzipuuza kwa kuangalia ukimya wa watu ukajua tayari umeshinda

Nikutakie kazi njema Mimi naendelea na kazi yangu ya uganga !
We zombi, unampiga biti rais....pambaneni na hali zenu
 
😂😂😂🤣🤣😂😂 Kule Kisarawe Kuna DC Anasema Mpeche Mpeche
 
I love this game. Wacha mvua inyeshe tuone panapovuja ule mtatu mtakatifu wote benchi makambarani, napelape na mwakinana.
 
1000120497.jpg
 
Kama utapata muda wa kupitia bandiko hili toa miwani yako ili usome kwa kutumia macho yako.

Nimeona kuna watu wameanza kutupwa mtoni potelea mbali kama mbwai iwe mbwai. Kibaya zaidi naona ugomvi unazuka tukiwa katikati ya daraja dakika chache kabla ya kuvuka mto.

Umewahi kujiuliza mh spika mstaafu anawaza nini ? Lakini umewahi kupata muda wa kufikiria kwamba mzee wa Kilosa Magamba Kibudenga anachofikiria? Au yule waziri wa zamani wa ardhi uliyemfurusha kwamba amezeeka kuliko Mkuchika ndugu Williamsoni Makuvi anachowaza unakijua?

Mzee Makamba kamba na huyu msomali unajua wanawaza nini?

Mambo yatabadilika ghafla hautaamini kabisa! Kwani wanaokushauri kwamba kila kosa ni kosa ni akina nani?

Unamfahamu Mpina? Muulize Kikwete na Hayati Magufuli 2015 mambo yalipogeuka alikuwa anapumulia mashine, siasa za nchi usije kuzipuuza kwa kuangalia ukimya wa watu ukajua tayari umeshinda

Nikutakie kazi njema Mimi naendelea na kazi yangu ya uganga !
Msitari wa mwisho.. ..
 
Kama utapata muda wa kupitia bandiko hili toa miwani yako ili usome kwa kutumia macho yako.

Nimeona kuna watu wameanza kutupwa mtoni potelea mbali kama mbwai iwe mbwai. Kibaya zaidi naona ugomvi unazuka tukiwa katikati ya daraja dakika chache kabla ya kuvuka mto.

Umewahi kujiuliza mh spika mstaafu anawaza nini ? Lakini umewahi kupata muda wa kufikiria kwamba mzee wa Kilosa Magamba Kibudenga anachofikiria? Au yule waziri wa zamani wa ardhi uliyemfurusha kwamba amezeeka kuliko Mkuchika ndugu Williamsoni Makuvi anachowaza unakijua?

Mzee Makamba kamba na huyu msomali unajua wanawaza nini?

Mambo yatabadilika ghafla hautaamini kabisa! Kwani wanaokushauri kwamba kila kosa ni kosa ni akina nani?

Unamfahamu Mpina? Muulize Kikwete na Hayati Magufuli 2015 mambo yalipogeuka alikuwa anapumulia mashine, siasa za nchi usije kuzipuuza kwa kuangalia ukimya wa watu ukajua tayari umeshinda

Nikutakie kazi njema Mimi naendelea na kazi yangu ya uganga !
Labda anaona yafaa 'acha lizame ili wagawane mbao.'
 
Back
Top Bottom