DOKEZO Rais ingilia kati ubadhirifu katika ujenzi wa jengo la abiria Mwanza Airport

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Busara itumike Ramani ya jengo ipitiwe upya na uchunguzi ufanyike kwa kina hatua zichukuliwe. Picha nenda you tube.
 
Mtu aliyeharibu uwanja huo ni JPM, mkurupukaji na Mzee wa teni pasenti. Bahati mbaya kafa kabla hajaumbuliwa
 
Magufuli hayupo kwa sasa tugange yajayo,taasisi ya Rais ipo serikali ni ile ile ya CCM ipo,Ilani ni ileile. Tusiruhusu makosa yaliyotokea kwenye jengo hili yaendelee sasa hivi ni awamu nyingine. Yarekebishwe kwa maslahi ya Taifa. Jengo hili TAA walipitie upya hii ni aibu!
 
Uedanganywa nawe ukadanganyika.

Mpango wa JPM ulikuwa kuvijenga viwanaj vya ndege kila mkoa. Chato inachukua nafai ya geita na sio mwanza.

Ungeongelea kuhusu uwanja wa geita na chato lambda.

Uwanja wa Mwanza uliachwa kwenye hari nzuri ya ujenzi. lambda wewe ni mgeni kwa mwanza.
 
Msikilize mkuu wa mkoa RC Adam Malima alipotembela airport hivi karibuni ujue hali ya ufisadi kwenye jengo hilo na sub standards zake ndipo utajua nini watu wanasema, acheni kutetea uozo.
 
Msikilize mkuu wa mkoa RC Adam Malima alipotembela airport hivi karibuni ujue hali ya ufisadi kwenye jengo hilo na sub standards zake ndipo utajua nini watu wanasema, acheni kutetea uozo.
Huyu Malima ndio kaja kuharibu kabisa kwa kujifanya financial advisor, mkuu wa mkoa aliyekuwepo alikuwa amefikia hatua nzuri ya kukabidhi Taa, ila huyu financial advisor Toka amekuja hakuna analofanya mwanza.
Kama kuna ubadhirifu si watu wakamatwe?
 
Nchi itajengwa na wazalendo.
Mimi husema hivi, kwenye maswala kama haya, watendaji wanapokosa aibu kabisa kuvuruga kazi za waTanzania, kuna sababu zipi za kuendelea kuwapa heshima hawa watu?

Hilo jengo katika mipango ya ujenzi wake wote, ni lazima kuna watu wanaojulikana kuisimamia hiyo kazi toka mwanzo hadi mwisho, na ni hawahawa watu, au baadhi yao wanaovuruga kazi hiyo, tena kwa kiburi na kujua hawatafanywa lolote na yeyote.

SKwa hiyo mimi nasema hivi, ni wakati mwafaka wa kutafuta njia za kupambana na hawa wahuni, hata kwa njia zisizo rasmi.
Hawa watu wana majina, na wana vyeo. Unapokuja hapa JF na kulialia kijumla tu namna hii inatia masikitiko kwetu sote.
Inabidi sasa pawepo na utaratibu wa kuwataja waziwazi hawa watu, jamii iwatambue na kuwajua. Kuna njia nyingi sana za kutaja na watu wakajua ni akina nani hawa wanaotuvuruga na kutukwamisha katika juhudi zetu za kutafuta maendeleo.

Hata kama hawwafikishwi mahakamani, kuwataja hadharani ni sawa na kuwafikisha kwenye mahakama ya umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…