Rais J.Kikwete anaondoka na "timu yake ya Taifa Stars"

shaks001

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
1,246
Reaction score
1,070
Ni aibu kubwa kwa timu yetu ya Taifa yenye kupata support ya kila aina kutoka serikalini kuwa ya mwisho kwa ubora katika ukanda huu wa nchi za Afrika Mashariki.

Katika viwango vya ubora katika soka vilivyotolewa jana na FIFA,Tanzania ni ya 140 ikiachwa mbali na Uganda.Leo hii mpaka Kenya wametupita?

TFF,wachezaji tuhurumieni watanzania!
 
Watu wanaomwalika Magufuli awe mgeni rasmi unategemea washike namba ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…