Rais Jakaya Kikwete mbona unangangania IGP Mwema

Rais Jakaya Kikwete mbona unangangania IGP Mwema

Mkuu rombo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
1,556
Reaction score
422

Sisi ni askari wajeshi la polisi nchini Tanzania, tunaomba Mh.Rais Jakaya Kikwete amuondoshe madarakani,mkuu wa jeshi letu Inspekta Jenarali IGP Saidi mwema katika uongozi wa jeshi la polisi.
kusema kweli tunashindwa kumwelewa Mh.Rais Kikwete kwa uamuzi wake wa kumwongezea mkataba Afande saidi mwema na wenzake wakati askari wa kufanya kazi zao wapo weng.
kwa kifupi Afande Mwema nakamanda wa polisi kamanda wamemaliza muda wao wa utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria
lakini pia sisi tumewachoka na hata matukiomengi yanayoshuhudiwa sasa ni kutokana na sisi kukata tamaa kutokana na uongozi tusioukubaliwa maafande hao wakuu na kusababisha heshima ya jeshi la polisi kushuka
Wakatimatokeo ya ujambazi yaliozidi chini ya uongozi wa sIGP mstaafu OMARI MAHITA ilibidi aondoke muda wake ulipotimu na hapoa ndipo jeshi la polisi likajipanga upya,na sasa ni wakati wa IGP Mwema na wenzake kuondoka ili watoe nafasi kwa wengine.
polisi tulio wengi tumekatishwa tamaa na uamuzi wa kuongezea mikataba maafande waliostaafu wakati wengine wakufanya kazi zao kwa tija wapo.
Tazama makao makuu, utaona maafisa zaidi ya wanane ni wastaafu na hakuna majukumu mazito wanayofanya
tupo zaidi ya askari 40000 inamaana Mh Rais Kikwete hana imani na sisi wote mpaka awanganganie mwema na kova
Raisi akumbuke alipoingia madarakani hali ya ya usalama ilivyokuwa na afananishe na hali ya sasa
Tunamwuomba atoe uamuzi mgumu na busara kwa kuwaondowa wastaafu wasiona umuhimu kama mwema na kova
na kama rais kikwete atashindwa kuwaondoa kina kova na mwema basi tunawuoman mwema achukuwe uwamuzi wa busara kuondoka na kizazi chake cha ANALOJIA tunataka wa kutuingiza DIJITALI

sisi
ni askari wa jeshi
la polisi Tanzania

aiseee babayangu source MAWIO 27.06.2013 hadi mkuu rombo limetufikia

tujadili wanajanvi
 
Ulitaka ang'ang'aniwe bibi yako?

Sina hakika na source aliotoa hii habari, lakini kama ni kweli kaitoa MAWIO, hupaswi kumjibu hivi ndugu yangu. Kachukua mada kaleta JF mjadili, ana uhuru wa kufanya hivyo na si kosa kama habari hiyo kaitoa ktk chombo chochote cha habari, habari za bibi yake zimekujaje hapa? Kuweni wastaarabu ktk kuchangia jambo linalohusu umma wa watanzania, kama huna mchango unapotezea tu si lazima uandike kitu. Jiridhishe kama habari hii ipo huko MAWIO then toa mchango wako.
 
Sisi ni askari wajeshi la polisi nchini Tanzania, tunaomba Mh.Rais Jakaya Kikwete amuondoshe madarakani,mkuu wa jeshi letu Inspekta Jenarali IGP Saidi mwema katika uongozi wa jeshi la polisi.
kusema kweli tunashindwa kumwelewa Mh.Rais Kikwete kwa uamuzi wake wa kumwongezea mkataba Afande saidi mwema na wenzake wakati askari wa kufanya kazi zao wapo weng.
kwa kifupi Afande Mwema nakamanda wa polisi kamanda wamemaliza muda wao wa utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria
lakini pia sisi tumewachoka na hata matukiomengi yanayoshuhudiwa sasa ni kutokana na sisi kukata tamaa kutokana na uongozi tusioukubaliwa maafande hao wakuu na kusababisha heshima ya jeshi la polisi kushuka
Wakatimatokeo ya ujambazi yaliozidi chini ya uongozi wa sIGP mstaafu OMARI MAHITA ilibidi aondoke muda wake ulipotimu na hapoa ndipo jeshi la polisi likajipanga upya,na sasa ni wakati wa IGP Mwema na wenzake kuondoka ili watoe nafasi kwa wengine.
polisi tulio wengi tumekatishwa tamaa na uamuzi wa kuongezea mikataba maafande waliostaafu wakati wengine wakufanya kazi zao kwa tija wapo.
Tazama makao makuu, utaona maafisa zaidi ya wanane ni wastaafu na hakuna majukumu mazito wanayofanya
tupo zaidi ya askari 40000 inamaana Mh Rais Kikwete hana imani na sisi wote mpaka awanganganie mwema na kova
Raisi akumbuke alipoingia madarakani hali ya ya usalama ilivyokuwa na afananishe na hali ya sasa
Tunamwuomba atoe uamuzi mgumu na busara kwa kuwaondowa wastaafu wasiona umuhimu kama mwema na kova
na kama rais kikwete atashindwa kuwaondoa kina kova na mwema basi tunawuoman mwema achukuwe uwamuzi wa busara kuondoka na kizazi chake cha ANALOJIA tunataka wa kutuingiza DIJITALI

sisi
ni askari wa jeshi
la polisi Tanzania

aiseee babayangu source MAWIO 27.06.2013 hadi mkuu rombo limetufikia

tujadili wanajanvi
Waache wafie humo humo kwa ajili ya kukimbiza mingo,muda utafika wataondoka hata kama hawapendi,na wakija ondoka hawakai muda uraiani wanarudisha switch kwa sir God
 
Waache wafie humo humo kwa ajili ya kukimbiza mingo,muda utafika wataondoka hata kama hawapendi,na wakija ondoka hawakai muda uraiani wanarudisha switch kwa sir God

aiseeee babayanyu menena vema
 
Kikosi cha Polisi au Jeshi la Polisi? lingekuwa Jeshi polisi wangekuwa waadilifu kwa kiwango angalau nusu kama walivyo JWTZ
 
Mleta mada na wana jf!
Hivi umri wa kustaafu utumishi wa makamanda wa jeshi la polisi uko je!! hii itasaidia kujua kama kuna ukweli hii maada.
SP
 
Kwani kabla yake mahita ndo alikuwa anadhibiti ujambazi au anaongoza ujambazi? Tafakali
 
Hawezi kumtoa kwa sababu zake anataka watoke wote ili kuepa lawama kuwa hakuwabeba waru wake wa karibu........
 
Back
Top Bottom