Utakubukwa kuwa Rais Bora kama utasimimamia KIDETE priorities hizi-
1.Kutandaza Fibre Optics
2.Mapinduzi ktk kilimo cha kisasa kwa large scale.
Hakika ukishinda hayo hasa la kwanza utakuwa umetukombowa kutoka ktk umasikini.
R U in IT?
Unaweza kunielimisha ni kwa vipi akitekeleza la kwanza atakua ametukomboa?
Jamani msimfundishe kazi mzee wa Ari mpya, Kasi mpya na Nguvu mpya!! Subirini performance baada ya miaka mitano ambayo haijaisha.
kuna paper nyingi sana zilizoandikwa zinazokataa kuwa uwepo wa IT unasaidia kuinua maisha ya wananchi wa kawaida. ( japo kuwa zipo nyingi zinazokubali pia)
kwa vile faida ya unachokitaka hakiko dhahiri ( kitaaluma), nafikiri ungependekeza kufanywe mengine ya msingi zaidi kama kuhakikisha upatikanaji wa elimu kwa wote
Ushauri wangu kwa Rais wangu ni kuwa. Maendeleo ya nchi hayaletwi na kelele bali matendo.
Utakubukwa kuwa Rais Bora kama utasimimamia KIDETE priorities hizi-
1.Kutandaza Fibre Optics
2.Mapinduzi ktk kilimo cha kisasa kwa large scale.
Hakika ukishinda hayo hasa la kwanza utakuwa umetukombowa kutoka ktk umasikini.
1.Elimu bora
2.Mfumo bora wa afya
3.Utawala wa sheria
4.ujasiriamali
5.Mfumo bora wa kiuchumi
Ina sikitisha kuwa wakati huu ambapo wenzetu wanaondokana na uchumi tegemezi wa kilimo sisi ndiyo kwanza tuna tafuta kuuboresha.
Hiyo ya IT ina faida gani kama watu hawata kuwa na uwezo wa kutosha wa kutake advantage of the technology? Kama tuna zungumzia on the basis ya wachache sawa ila kama una suggest vitu vitakavyo nufaisha taifa zima kwa sasa hili siyo moja wapo.
Mkuu MwanaFilosofia1, nakubaliana na yale uliyoyasema kuanzia moja mpaka tano,Hata hivyo sikubaliani nawe kabisa juu ya kuondokana na suala la kilimo.Mtu yeyote katika madaraka iwe ulaya ,Urusi au Marekani atatambua kuwa hilo ndilo suala la msingi kabisa katika uhai wa Taifa lolote.
Ondoa chakula mezani mwa wananchi .hasa wa mijini, kwa muda wa wiki moja tu na huna nchi.
Wafalme wa Ufaransa walipata joto kali na hatimaye kupinduliwa kutokana na njaa miaka ya 1700's.
Kilimo ndo muajiri mkuu wa wananchi
Kilimo ndio msingi wa viwanda karibu vyote
Kilimo ndio changamoto ya mitandao yote ya mawasiliano ,ikiwemo barabara
Kati ya wazalishaji wakubwa wa mazao ya chakula duniana ni hayo hayo mataifa makubwa -hence Kilimo.
Kilimo kilisahauliwa kidogo katika miaka ya hivi karibuni.Hivyo basi kuzinduka huku kwa serikali na kukumbushia "KILIMO KWANZA" ambayo ni reflection ya Mwalimu ya "SIASA NI KILIMO" it is a welcome back to reality.
Tusijejidanganya , hakuna mbadala kwa Kilimo
1.Elimu bora
2.Mfumo bora wa afya
3.Utawala wa sheria
4.ujasiriamali
5.Mfumo bora wa kiuchumi
Ina sikitisha kuwa wakati huu ambapo wenzetu wanaondokana na uchumi tegemezi wa kilimo sisi ndiyo kwanza tuna tafuta kuuboresha.
Hiyo ya IT ina faida gani kama watu hawata kuwa na uwezo wa kutosha wa kutake advantage of the technology? Kama tuna zungumzia on the basis ya wachache sawa ila kama una suggest vitu vitakavyo nufaisha taifa zima kwa sasa hili siyo moja wapo.
Mimi bado siamini unachokisema wezetu wanaondokana na kilimo,Hawa jamaa wanalima kwelikweli tena kwa ma large scale kweli kweli tena kwa kilimo cha mimashine mikubwamikubwa.
Kukidharau kilimo ni kujaribu kuidanganya akili na hata hivyo bado nafikiri ni miujiza kwa nchi kuendelea kama chakula chote ni Tegemezi.Hawa watu hawategemei uchumi wao sana ktk kilimo ni kwasababu hali ya hewa yao iko LIMITED,na hata hivyo mda mchache takribani miezi mitano inayowaruhusu kufanya kilimo wanaitumia vilivyo na hata baadae Kutupatia MSAADA tunapokumbwa na njaa.Na kusema hawa jamaa hawalimi mie nafikiri ni PROPAGANDA zisizo na Tija .
Pia naamini HAKUNA Elimu bora,Utawala wa sheria,mfumo bora wa afya,mfumo bora wa kiuchumi n.k sehemu palipo na NJAA.Kwa kufupisha ni kwamba hakuna binadamu mstaraabu aliye na njaa.
Bado naamini ni swala ambalo limekaa ki intuitive zaidi ya kwamba binadamu hawezi kuwa na mipango na mikakati kabla hujashiba ,hivyo kujikombowa kwetu kutakuja nafikiri ni baada ya kwa nchi yetu kutofikiri tena kesho tutakula nini.
Pili maendeleo hayategemei yule kaacha lile ama hili ama kaendelea kwa lile ama lile bali yanakuja kwa kuitumia fursa iliyopo kwa ufasaha zaidi ,Fursa ya kilimo ni moja ya fursa malidadi ambayo inaweza kutukwamuwa kwani tukiweza zalisha chakula kingi nchi zinazotuzunguka zinahitaji zaidi chakula hicho wenda zaidi ya dhahabu ama tanzanite inavyohitajika ulaya.
Mkuu MwanaFilosofia1, nakubaliana na yale uliyoyasema kuanzia moja mpaka tano,Hata hivyo sikubaliani nawe kabisa juu ya kuondokana na suala la kilimo.Mtu yeyote katika madaraka iwe ulaya ,Urusi au Marekani atatambua kuwa hilo ndilo suala la msingi kabisa katika uhai wa Taifa lolote.
Ondoa chakula mezani mwa wananchi .hasa wa mijini, kwa muda wa wiki moja tu na huna nchi.
Wafalme wa Ufaransa walipata joto kali na hatimaye kupinduliwa kutokana na njaa miaka ya 1700's.
Kilimo ndo muajiri mkuu wa wananchi
Kilimo ndio msingi wa viwanda karibu vyote
Kilimo ndio changamoto ya mitandao yote ya mawasiliano ,ikiwemo barabara
Kati ya wazalishaji wakubwa wa mazao ya chakula duniani ni hayo hayo mataifa makubwa -hence Kilimo.
Kilimo kilisahauliwa kidogo katika miaka ya hivi karibuni.Hivyo basi kuzinduka huku kwa serikali na kukumbushia "KILIMO KWANZA" ambayo ni reflection ya Mwalimu ya "SIASA NI KILIMO" it is a welcome back to reality.
Tusijejidanganya , hakuna mbadala kwa Kilimo
Hakuna kitu mbaya kama njaa!!
Mwanfalsafa1,
Mkuu ukitazama nchi hizo unazosema hazitegemei kilimo.. utagundua kwamba pato lake la kilimo pekee ni sawa na pato ya mataifa mengi kama sii yote ya Africa kwa ujumla wa vitu vyote....Kila mtu hujipima suti kwa umbo lake mkuu wangu huwezi kuiga kila kitu. Marekani asilimia 10 ndio wakulima lakini wanazalisha mara 2 ya pato zima la nchi zetu maskini, lakini ukichukua jumla ya pato la kilimo ukalinganisha na maswala mengine ndipo unaposema Kilimo hakitegemewi..
Haya tazama basi pato kubwa la Tanzania linatokana na madini lakini ni asilimia chini ya 2 ya pato hilo linachangia mfuko wa serikali kwa sababu sisi bado ni taifa tegemezi tofauti na Marekani au nchi tajiri wanaochimba wenyewe na pato libakia ndani!..
Nimekuelewa sasa mkuu. Kwenye hilo la kilimo sina ubishi tena.