Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Yaani huyu mzee nimempenda nampenda nanitampenda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nichangie pesaNimeshindwa kuungana nawe Maana bando la kuangalia hiyo video sina... siku ingine tufikirie nasi uwe unaandaki kile unachotamani tusshiriki na unaweka video kama chanzo Cha taarifa kwa wenye kuhitaji
Sijakuelewahuyo ndo emirate mwenyewe …
Uchangiwe au uchangie?Nichangie pesa
InajielezeaUchangiwe au uchangie?
ChangiaInajielezea
Kisa mbona kuna ambao walimpenda sana trump na wanaishi tz bado hata mie nampenda kagameWrite your reply...hamia rwanda
Umezowea kuishi na kutawaliwa kimazowea, kupelekeshwa ki kondoo.Bongo tuna bahati mbaya sana kwenye uongozi wa juu.Rais Samia: Naona aibu kuwachukulia hatua viongozi Walionizidi Umri
Asalam, Msiopenda utaratibu wa mimi kufuatilia na kusoma kwa makini hotuba za Rais wangu Mpendwa mtanisamehe. Mwaka 2021 Fatma Karume (Shangazi wa Taifa ) aliandika andiko moja muhimu sana juu ya namna ya kumfahamu vema Rais wetu, naomba kumnukuu "Ukitaka kumwelewa Rais Samia na Hotuba Zake...www.jamiiforums.com
Wewe huna credibility ya kutoa mawazo huru. Unaangalia mtu kidiniUmezowea kuishi na kutawaliwa kimazowea, kupelekeshwa ki kondoo.
Mama Sqmia ni Rais ambae hana mfanowe, ana maono ya.mbali swna na anafanya kazi zake kwa umahiri mkubwa sana.
View attachment 2731575
AkuChangia
So waislam wote wamekubaliana na huu mkataba basi ikawe heri kwenu siye hakunagaUmezowea kuishi na kutawaliwa kimazowea, kupelekeshwa ki kondoo.
Mama Sqmia ni Rais ambae hana mfanowe, ana maono ya.mbali swna na anafanya kazi zake kwa umahiri mkubwa sana.
View attachment 2731575