RAIS KAONGEZA WAJUMBE 35 wajumbe wa KATIBA, Je nani atawalipa???

RAIS KAONGEZA WAJUMBE 35 wajumbe wa KATIBA, Je nani atawalipa???

fikirikwanza

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
7,452
Reaction score
3,071
Tumuulize Lukuvi ambaye anasema rais aliongeza watu 35 kwenye ujumbe wa bunge la katiba wakati bajeti haina hao watu, je pesa hizo rais atawalipa kwa pesa zake??? kama ni zetu zile zile sasa hao 35 amewaongeza kwa shughuli gani?? Anapongezwa na LUKUVI kwa lipi? kuongeza gharaha kinyume cha bajeti??? katika mazingira aya hao 35 watalipwa kama wale wengine??? je bajeti ni shilling ngapi? na kila mjumbe atalipwa shilling ngapi??? je hilo ni siri?? au ni haki yetu kujua. Nawasilisha kwa kuomba ufafanuzi wenu wanaJF ambao ni makini sana
 
katika watu wa ajabu ni lukuvi,isimani hakuna maji yeye anapiga polojo bungeni....
 
Kiongozi shupavu lazima awe mkali kidogo ili unaowaongoza au unaoshirikiana nao wajue mipaka yao ya kukujaribu au kukutania. Rais alitakiwa atume ujumbe kwa wenzake kuwa hataki utani kwenye jambo hili na wajirekebishe kwa makosa waliyofanya. Hawa ni vijana tuliowawezesha sisi kushika madarAka na haiwezekani leo watuondoe kwenye shirikisho tuliloanzisha sisi. We should be offensive rather than being defensive. Ni vema wanaotuwakilisha kwenye vikao vya pamoja wakawa mstari wa mbele katika kutoa mawazo yanayosaidia nchi kuliko kulalamika baadaye. Kulalamika baada ya kushiriki kwenye maamuzi ya pamoja haisadii kitu.
 
katika watu wa ajabu ni lukuvi,isimani hakuna maji yeye anapiga polojo bungeni....

mkuu, sidhani kama taarifa hii ina chembe ya ukweli. kwani sheria iliyopitishwa na bunge inataja idadi ya wajumbe wangapi?
 
Lukuvi kasema hayo bungeni, sasa nako anadanganya???
 
Atachukua kwenye vyanzo vyake vingine kama ufugaji na shamba.
 
CCM ina vijana wenye very poor reasoning .....mjadala mzuri lakn lema lema....hivi hamwezi kutuliza akili na kujadili mambo ya kitaifa kama haya....mtafikiri mna FUNZA kichwani,,,simiyu whats problem with ur head....msalani mna tatizo gani ninyi...?
 
CCM ina vijana wenye very
poor reasoning .....mjadala mzuri lakn lema lema....hivi hamwezi
kutuliza akili na kujadili mambo ya kitaifa kama haya....mtafikiri mna
FUNZA kichwani,,,simiyu whats problem with ur head....msalani mna tatizo
gani ninyi...?

Lema anastahili kulaaniwa na kila mmoja wetu kutokana na tabia yake na matendo yake mabaya
 
Tumuulize Lukuvi ambaye anasema rais aliongeza watu 35 kwenye ujumbe wa bunge la katiba wakati bajeti haina hao watu, je pesa hizo rais atawalipa kwa pesa zake??? kama ni zetu zile zile sasa hao 35 amewaongeza kwa shughuli gani?? Anapongezwa na LUKUVI kwa lipi? kuongeza gharaha kinyume cha bajeti??? katika mazingira aya hao 35 watalipwa kama wale wengine??? je bajeti ni shilling ngapi? na kila mjumbe atalipwa shilling ngapi??? je hilo ni siri?? au ni haki yetu kujua. Nawasilisha kwa kuomba ufafanuzi wenu wanaJF ambao ni makini sana
kodi zetu wana nchi zitawalipa
 
Kama LEMA anavyolilia Posho huku jimboni kwake hajatimiza hata ahadi moja!

unataka kumpotosha nani? suala la posho limepigiwa kelele sana na wabunge maccm akiwemo makinda na watz wote wanajua hilo.
 
Lema anastahili kulaaniwa na kila mmoja wetu kutokana na tabia yake na matendo yake mabaya

na savimbi unamuweka kundi gani hapo? au tumsifu kwa vile ugaidi wake anawafanyia cdm?
 
Kwani hao wajumbe wengine wanalipwa na nani.
 
Ndg mleta mada,kusikiliza ni jambo 1 na kuelewa ulichosikiliza ni jambo jingine.Nadhani iko shida kati ya hayo!
 
Tumuulize Lukuvi ambaye anasema rais aliongeza watu 35 kwenye ujumbe wa bunge la katiba wakati bajeti haina hao watu, je pesa hizo rais atawalipa kwa pesa zake??? kama ni zetu zile zile sasa hao 35 amewaongeza kwa shughuli gani?? Anapongezwa na LUKUVI kwa lipi? kuongeza gharaha kinyume cha bajeti??? katika mazingira aya hao 35 watalipwa kama wale wengine??? je bajeti ni shilling ngapi? na kila mjumbe atalipwa shilling ngapi??? je hilo ni siri?? au ni haki yetu kujua. Nawasilisha kwa kuomba ufafanuzi wenu wanaJF ambao ni makini sana

Itakuwa ndio matumizi ya kodi ya sim card nadhani!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Unauliza nani atawalipa, kwani unajua hao wengine nani atawalipa?
 
Unauliza nani atawalipa, kwani unajua hao wengine nani atawalipa?

Hao wangine kwa maelezo ya UKUVI walipangwa kwenye bajeti, sasa rais kaongeza watu watalipwa na nani?? au watapunguza posho za wale wengine ili wawalipe wenzao nyongeza ya rais??? je kwa kazi gani wameongezwa???
 
Back
Top Bottom