Rais karibu Tabora; Ombi letu omba takwimu za vyumba vya madarasa na madawati yaliyokamilika

Rais karibu Tabora; Ombi letu omba takwimu za vyumba vya madarasa na madawati yaliyokamilika

Nazi embe

Senior Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
105
Reaction score
123
Mh tunaomba ukifika mkoa wa Tabora omba viongozi wakuambie tangu shule zifunguliwe wametatuaje changa moto ya upungufu wa madawati na vyumba vya madarasa wakikudanganya siye tutasema ukweli,

Ni ajabu na aibu sana mkoa ambao una gereza kubwa uyui, una miti mingi ya asili ya mbao watoto bado wanakaa chini na hakuna jitihada zozote zinazofanyika zaidi ya usanii usanii tu.
 
Kama hili darasa na linatumika hadi sasa, mvua ikinyesha wanakulà kona jua likiwa kali wanakula kona vile vile.

Shule iliezuliwa na upepo wa mvua..
20210121_130133.jpg
 
Back
Top Bottom