Rais Karume akataa kukutana na Watanzania UK!

Mimi naona Karume amewakosea Watz na anatakiwa awaombe radhi kwa kuwakwepa kama kweli alikataa kuonana nao! Unless kama kulikuwa na sababu ya msingi ya kutoonana nao, kwa hili simwelewi!
 
Alibaba,
Tangu lini Karume wa sasa amekuwa makamu wa raisi wa muungano?
 

Mkuu,kama sijakosea Rais Karume wa Zanzibar SI Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.Nafasi hiyo anayo Mhe.Mohammed Shein
Nafikiri Mzee Karume amekwepa tu kujibu maswali magumu ambayo angeulizwa na waTanzania hasa muda huu wa kukaribia uchaguzi Mkuu mnamo Oktoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…