johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais U huru Kenyatta wa Kenya amekataa kusaini sheria ya bajeti iliyopendekeza uwepo wa Kodi ya Vat kwa mafuta kwa kiwango cha 16%. Na badala take Kenyatta amepeleka muswada wa punguzo la kodi hiyo kufikia 8%. Hii yote ni katika kuwapunguzia gharama za maisha wananchi wanyonge kama afanyavyo Rais wetu mpendwa Dr Magufuli. Source Citizen TV!