Rais Kenyata afuata nyayo za Dr Magufuli awakumbuka wanyonge na kulikataa pendekezo la bunge!

Rais Kenyata afuata nyayo za Dr Magufuli awakumbuka wanyonge na kulikataa pendekezo la bunge!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais U huru Kenyatta wa Kenya amekataa kusaini sheria ya bajeti iliyopendekeza uwepo wa Kodi ya Vat kwa mafuta kwa kiwango cha 16%. Na badala take Kenyatta amepeleka muswada wa punguzo la kodi hiyo kufikia 8%. Hii yote ni katika kuwapunguzia gharama za maisha wananchi wanyonge kama afanyavyo Rais wetu mpendwa Dr Magufuli. Source Citizen TV!
 
Rais U huru Kenyatta wa Kenya amekataa kusaini sheria ya bajeti iliyopendekeza uwepo wa Kodi ya Vat kwa mafuta kwa kiwango cha 16%. Na badala take Kenyatta amepeleka muswada wa punguzo la kodi hiyo kufikia 8%. Hii yote ni katika kuwapunguzia gharama za maisha wananchi wanyonge kama afanyavyo Rais wetu mpendwa Dr Magufuli. Source Citizen TV!

Hehehe...huelewi unachosema. Ingekuwa vyema ikiwa ungeuliza.
 
Back
Top Bottom