Rais Kenyatta akagua bandari ya Lamu

aliye na mipicha ya bagamoyo mega port jamani atupiamo humu jamani na ss tuonee!πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜€
 
Baada ya Bandari ya Beira kuoshwa na mafuriko Malawi wamerudi Dar port 100% ila upanuzi huu na ujenzi wa mabarabara Mtwara corridor ni mpango wa Malawi na Zambia na South n Eastern DRC kusogezewa Bandari!
 
aliye na mipicha ya bagamoyo mega port jamani atupiamo humu jamani na ss tuonee!πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜€
Kweli msafara wa mamba kenge hakosi, wewe umeambiwa mradi umesimama na bado unaudai una hisa nini 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…