Rais Kenyatta amuomba Mbunge kuondoa ombi la kumng'oa Jaji Mkuu

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amuomba Mbunge wa Nyeri Mjini kuyaondoa maombi yake ya kutaka Jaji Mkuu David Maraga ang'olewe katika nafasi hiyo.

Kufuatia ombi hilo Mbunge huyo wa Nyeri Mjini, Ngunjiri Wambugu amekubali ombi la Rais Kenyatta na kuahidi kuondoa ombi la kuondolewa kwa Jaji Mkuu
 
I like the way wakenya wanavyo-handle mambo yao in term of politics. tz and other fellow East African member states tunayo ya kujifunza kutoka kwao. viva Tz...viva Kenya....viva Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…