not that high. its just sis hatutaki ku think out of box. tunafungia fikra zetu ndani wkt wao wakiopen fikra zao
Sasa kama wewe unafanya biashara ya mazao kati ya Tanzania na Kenya hicho kinakutosha na wala husumbuliwi mpakaniunaongelea kile kikaratasi cha mwezi mmoja au ile passprt kubwa?
Sasa wewe nani kakukataza usiwe sharp?Tutafurwa tukiruhusu wakenya waje bongo I’m telling you , wakenya wako sharp sana wale
Waache tu waendelee na majungu yao huku watu wanachangamkia fursa.Hili ni somo gumu sana watanzania kuelewa. Wanajua dawa ni kujifungia tu humu na ufukara wetu
Kwa mara ya kwanza nakukubaliWaje tu si wanakuja na pesa zao hakuna shida sisi tunaambiwa njooni watu wanavuta miguu
Nimeona twitter na youtube wakenya wanalalamika rais katoa go ahead kwa watanzania kwenda kufanya kazi bila work permit but Rais Samiah hajasema hivyo kwa wakenya waje tu bongo 😀Kasema mkafanye biashara siyo kutafuta ajira.
Sisi wauza mahindi mama katufungulia milango soon na sisi tutaanza kujenga magorofa na kusomesha watoto wetu IST.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2135][emoji2101][emoji2101][emoji2101][emoji2101][emoji2101]
Sasa wewe nani kakukataza usiwe sharp?
Nahizo ndiyo biashara inafanyika sana ya kwenda na kurudi .Swala mtu unataka kuhamia kuweka biashara za kudumu kule siongelei umachinga wa kwenda safari moja moja na kurudi
Yeah ndiyo kama nilivyomwelewesha mwamba pale juuNimeona twitter na youtube wakenya wanalalamika rais katoa go ahead kwa watanzania kwenda kufanya kazi bila work permit but Rais Samiah hajasema hivyo kwa wakenya waje tu bongo [emoji3]
Ukiijua biashara unayo ifanya haiitaji kuwa na degree wala diploma .Nimesoma Tanzania, kenya, German ... nawajua vizuri ndugu zangu wengi kichwani ni zero , Yan mtu mwenyewe degree Tz ni sawa na mtu amemaliza secondary Kenya , so calculate apo uone ni nini kitatokea
Kama ni kuhamia huko nadhani lazma uwe na passport kubwa.Swala mtu unataka kuhamia kuweka biashara za kudumu kule siongelei umachinga wa kwenda safari moja moja na kurudi
sasa hapo mbona ni kosa letu kama nchi, mkenya ameona fursa tumezubaa , bado unamlaumu kwa lipi ?
viwanda tulikuwa navyo tukauwa kwa sera zetu mbovu ,wenzetu wamejitahidi kuvitunza na ndo vinatoa ajira na kulipa kodi vizuri
leo hii siagi tunategemea blueband , wakati tulikuwa na Tanbond yetu tukauwa , halafu tunataja tulaumu kwa nini mkenya analeta proceesd goods kwetu.
Wewe muuza madawa utamuota sana Jiwe mpaka uingie kaburini alivyokufanya hutamsahau. Lakini sahau kurudi kwenye biashara hiyo ya madawa. Kuhusu Kenya wewe akili kichwani huna. Unafikiri wewe utaweza kwenda kufanyakazi Kenya bila vikwazo nchi ya kibaguzi hivyo utakwenda kufanyakazi kwenye Kampuni ya Mkenya!! Labda iwe International Organization!! Wengine tumefanyakazi huko kwenye International Org. tunapajua fika jinsi walivyowabaguzi.Jiwe aliharibu kila sehemu na wafuasi wake kama wewe mkawa mnashangila kama vile makasuku tu.
Roho mbaya yenu ndio inafanya kampuni za Tanzania ziwe chache,imagine mtu ana usd 130 mln anataka kuwekeza kwenu lakini hamtaki eti sababu tu ni Mtanzania,unadhani jamaa angecreate ajira ngapi kwa wakenya!rostam ana makampuni south africa,uk,dubai lkn kenya hapo pamekua pagumu!Nasoma comments za kwene huu uzi, nyie Watanzania hata mubebwe mgongoni kabisa hambebeki, mumekua mnalalamika kwa sisi Wakenya tuna makampuni 500 Tanzania, ilhali nyie mumewekeza 30 pekee hapa Kenya, sasa sijui mfanyiwe nini, haya vikwazo vyote vimeondolewa bado mnalialia......
Ukiijua biashara unayo ifanya haiitaji kuwa na degree wala diploma .