Rais Kenyatta atembelea Ubalozi wa Tanzania kutoa heshima kwa Hayati Rais Magufuli

Rais Kenyatta atembelea Ubalozi wa Tanzania kutoa heshima kwa Hayati Rais Magufuli

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais Uhuru Kenyatta, leo ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini humo uliopo Nairobi kutoa heshima zake za mwisho kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli

C804AC16-A009-445D-BD12-86E84572A725.jpeg
9053B1DC-EB59-4BF5-96DC-80834A12BAA8.jpeg
722953CB-589C-4FFC-B79D-30640874EB55.jpeg
 
You always seem bitter,see a psychiatrist,other wise we are here to stay,seems you have something personal against Kenya and Kenyans
Mwambie aache kujipendekeza just the other day alizuia maize!
 
Full mabarakoa kwa kwenda mbele, naona hadi walinzi na wapambe wake hivyo hivyo, kuna sehemu nilisoma aliyekua mlinzi wa JPM naye pia yamemkuta kwa kushupaza shingo.
Hivi ina maana kati ya marais wote, wa kwetu tu ndiye amethubutu kwenda, sawa kiongozi wetu endelea kutuwakilisha huko maana kwa vyovyote vile, hao Watanzania tunahitajiana nao licha ya viburi vyao visivyokua na tija. Takwimu za mauzo yetu kwenda kwao zimeongezeka pakubwa, hivyo vumilia tu kiongozi wangu, sisi ni mabepari tunafanya kila kitu kwa kuzingatia diplomasia.
 
Full mabarakoa kwa kwenda mbele, naona hadi walinzi na wapambe wake hivyo hivyo, kuna sehemu nilisoma aliyekua mlinzi wa JPM naye pia yamemkuta kwa kushupaza shingo.
Hivi ina maana kati ya marais wote, wa kwetu tu ndiye amethubutu kwenda, sawa kiongozi wetu endelea kutuwakilisha huko maana kwa vyovyote vile, hao Watanzania tunahitajiana nao licha ya viburi vyao visivyokua na tija. Takwimu za mauzo yetu kwenda kwao zimeongezeka pakubwa, hivyo vumilia tu kiongozi wangu, sisi ni mabepari tunafanya kila kitu kwa kuzingatia diplomasia.
Acha umbea, aliyekuwa mlinzi wa JPM mliyemzushia kifo mbona hata jana alikuwepo pale uwanja wa Uhuru kwenye mazishi.

Tatizo ni kuokoteza vijistory vya mitandaoni na kutuletea huku wakati sisi ndio tuko kwenye main source.

Hebu jiulize kama ni kweli Hayati JPM aliondoka kwa Covid-19 mbona mke na watoto wote pamoja na mama yake mzazi ambaye ni mgonjwa sana for the past 3 years bado wako salama na Hawavai hizo barakoa zako.

Hivi unadhani mke wa hayati JPM jana angegudhuria msiba kuanzia kanisani na kule uwanja wa Uhuru bila barakoa kama mme wake aliondoka kwa Covid-19?

Achaga kuandika upuuzi saa kama hizi... .
 
Acha umbea, aliyekuwa mlinzi wa JPM mliyemzushia kifo mbona hata jana alikuwepo pale uwanja wa Uhuru kwenye mazishi.

Tatizo ni kuokoteza vijistory vya mitandaoni na kutuletea huku wakati sisi ndio tuko kwenye main source.

Hebu jiulize kama ni kweli Hayati JPM aliondoka kwa Covid-19 mbona mke na watoto wote pamoja na mama yake mzazi ambaye ni mgonjwa sana for the past 3 years bado wako salama na Hawavai hizo barakoa zako.

Hivi unadhani mke wa hayati JPM jana angegudhuria msiba kuanzia kanisani na kule uwanja wa Uhuru bila barakoa kama mme wake aliondoka kwa Covid-19?

Achaga kuandika upuuzi saa kama hizi... .

Endeleeni kujifanya shingo ngumu naona hata kwa kuaga mwili bado mnabanana bila barakoa, na ule ujuha mliaminishwa corona imetoweka Tanzania kwa maombi maana ilikua imetengenezwa kwa ajili ya kuwahujumu Watanzania kiuchumi.

Kuna hii picha nimeiona sehemu, sijui kama ni ya leo ila kama ni ya leo nahisi mtakua mumeanza kupata akili....

2718250_1616066394778.png
 
Endeleeni kujifanya shingo ngumu naona hata kwa kuaga mwili bado mnabanana bila barakoa, na ule ujuha mliaminishwa corona imetoweka Tanzania kwa maombi maana ilikua imetengenezwa kwa ajili ya kuwahujumu Watanzania kiuchumi.

Kuna hii picha nimeiona sehemu, sijui kama ni ya leo ila kama ni ya leo nahisi mtakua mumeanza kupata akili....

2718250_1616066394778.png
Sio ya leo, akiwa sadc huko, humwoni maraphosa, uyo mama havai barakoa akiwa huku, muumini mkubwa wa sera za magu, magu kamchagua awamu zote 2, haijawai kutokea, uyu atapita mule mule, yuko na vichwa behind her, she was under a docile kikwete government and was under the wings and mentorship of an aggressive strong leader. Utajua hujui.
 
Back
Top Bottom