real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta leo anazindua treni ya kwanza ya kusafirisha mizigo katika reli mpya ya kisasa iliyojengwa kutoka Mombasa hadi Nairobi.
Reli hiyo ni ya urefu wa kilomita 472 na treni zitakuwa zikisafiri kwa kasi ya wastani ya kilomita 120 kwa saa.
Rais Kenyatta atafungua rasmi reli hiyo kesho Jumatano kwa kuzindua huduma ya treni za uchukuzi wa abira, na kisha kuabiri treni na kusafiri nayo hadi Nairobi.
Treni hiyo itachukua muda wa saa nne unusu kufika Nairobi, safari ambayo huchukua karibu saa nane kwa kutumia basi.
Chanzo: BBC
Reli hiyo ni ya urefu wa kilomita 472 na treni zitakuwa zikisafiri kwa kasi ya wastani ya kilomita 120 kwa saa.
Rais Kenyatta atafungua rasmi reli hiyo kesho Jumatano kwa kuzindua huduma ya treni za uchukuzi wa abira, na kisha kuabiri treni na kusafiri nayo hadi Nairobi.
Treni hiyo itachukua muda wa saa nne unusu kufika Nairobi, safari ambayo huchukua karibu saa nane kwa kutumia basi.
Chanzo: BBC