Rais Kenyatta huku si kuuwa magazeti?

Rais Kenyatta huku si kuuwa magazeti?

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Wiki mbili zilizopita rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ampepitisha agizo la kubana matumizi serikalini likiwemo la kusimamisha huduma ya kupelekwa magazeti ktk ofisi za serikali.jee wana jamvi amri hiyo ingekuwa hapa Tanzania kitendo cha kuzuia magazeti kupelekwa maofisini si ndio ingekuwa kifo cha magazeti ya UHURU na MZALENDO na DAILY NEWS&SUNDAY NEWS? Maana magazeti hayo ndio pekee hulazimisha idara za serikali kuyanunua.kwani uraiani hayana tena soko!!! Tujadili.
 
Huku si kubana Uhuru Wa Habari bali ni kupunguza matumizi ya serikali
 
Wiki mbili zilizopita rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ampepitisha agizo la kubana matumizi serikalini likiwemo la kusimamisha huduma ya kupelekwa magazeti ktk ofisi za serikali.jee wana jamvi amri hiyo ingekuwa hapa Tanzania kitendo cha kuzuia magazeti kupelekwa maofisini si ndio ingekuwa kifo cha magazeti ya UHURU na MZALENDO na DAILY NEWS&SUNDAY NEWS? Maana magazeti hayo ndio pekee hulazimisha idara za serikali kuyanunua.kwani uraiani hayana tena soko!!! Tujadili.

Nimeshangazwa sana na hii habari.

Kwamba,,,,wafanya kazi serikalini Kenya,,walikua wakinunuliwa
mangazeti ya kusoma.

Safisha hii hasara yote serikalini Kenya,,,,rais Uhuru.:biggrin::biggrin:
 
lazima kuelewa agizo hili haimzui yeyote serikalini kupata gazeti. haimzui yeyote kununua gazeti lake kwenda nalo offsi . jieleze vizuri ukitumia link au habari 🙂.
 
Magazeti yayo hayo yanapatikana online.
Ofisini kuna tarakilishi zilizo na mtandao.
Huko si kuua magazeti, bali kuharakisha maendeleo.
 
Back
Top Bottom