Rais kibaki asalimu amri!!

Rais kibaki asalimu amri!!

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,508
Reaction score
11,897
raha na umuhimu wa katiba mpya imejidhihirisha nchini kenya kwani leo rais kibaki ameondoa majina ya wateule wake aliyowasilisha bungeni bila ya ridhaa ya waziri mkuu!
 
Nadhani kuna baadhi ya mambo mazuri inabidi tu-copy and paste kutoka katiba ya kenya, no moja wapo ni kama hili... kupunguza nguvu za raisi!!!
 
yes, hapo sasa mambo ndio yameiva kwa wenzetu
 
Back
Top Bottom