Rais Kikwete amteua Natu Rashid Msuya, kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Wadhamini PTF

Rais Kikwete amteua Natu Rashid Msuya, kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Wadhamini PTF

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
attachment.php

IMG-20151031-WA0001.jpg
 
Huu uzi utajaa matusi, ngoja nikimbie zangu mapemaaaaa!
 
Huu uzi utajaa matusi, ngoja nikimbie zangu mapemaaaaa!

Kulikuwa na ulazima gani wa yeye kumteua kipindi hiki cha lala salama? Kwanini asimuachie magufuli Rais wa ccm ateua mtu kwenye Hiyo nafasi?
 
Mkuu sasa itabidi amuachie JP Magz nae walau awe na nafasi mbili tatu za kuchagua watu wake,
 
Haha haa haa nahisi kikwete anafanya kusudi
cc Nyani Ngabu....
 
Last edited by a moderator:
Magufuli atateuliwa xn....bado haijafikia.muda wa.kushauliwa kidiplomasia...hapa napo atashauliwa na kutendewa xn
 
Magufuli onyesha ubabe wako kwa kutengua teuzi zote za JK alizofanya kipindi cha lala salama uone kama hatutakushangilia
 
Back
Top Bottom